Mwigulu umewadanganya Wastaafu, Bunge na Rais. Laana ya wazee mtaiona

Mwigulu umewadanganya Wastaafu, Bunge na Rais. Laana ya wazee mtaiona

Hii serekali sijui wanapigaje hesabu zao. Kuna mdau ametoa mfano wa kanali mstaafu aisee ni majanga haswa. Na ndio maana wanakufaga mapema hawa watu. Na shida ni kwamba kanali aliyestaafu 1997 anapata laki moja pensheni na aliyestaafu 2023 anapata milioni na ushehe! Sasa unajiuliza hawa wamestaafu na cheo sawa na wanaingia maduka Yale Yale mtaani na ukipima zaidi hawa wa zamani ndio walikuwa waadilfu haswaa!

Shida sana yaani.

Kuna kanali mmoja namjua masikini hadi huruma. Kapiganisha vita ya Uganda, kapigana ushelisheli, kapigana msumbiji full battle, kaseti miundo mbinu na systems kibao jeshini na sasa hivi anasota balaa mtaani
Ma Kanali wa Kweli wapo Africa Magharibi! wasiovumilia ujinga na uporaji wa Mali za Umma,wameruhusu Viongozi wametafuna nchi,wanataka mafao yepi? Walizoea kula mapololo wakasahau kulinda maslahi ya ndani ya nchi zidi ya mkoloni mweusi.Mstaafu mwenzao kinana,anakula mpaka kesho.
 
Hii serekali sijui wanapigaje hesabu zao. Kuna mdau ametoa mfano wa kanali mstaafu aisee ni majanga haswa. Na ndio maana wanakufaga mapema hawa watu. Na shida ni kwamba kanali aliyestaafu 1997 anapata laki moja pensheni na aliyestaafu 2023 anapata milioni na ushehe! Sasa unajiuliza hawa wamestaafu na cheo sawa na wanaingia maduka Yale Yale mtaani na ukipima zaidi hawa wa zamani ndio walikuwa waadilfu haswaa!

Shida sana yaani.

Kuna kanali mmoja namjua masikini hadi huruma. Kapiganisha vita ya Uganda, kapigana ushelisheli, kapigana msumbiji full battle, kaseti miundo mbinu na systems kibao jeshini na sasa hivi anasota balaa mtaani
Mtu aliyefanya kazi mwaka 1985 mshahara kima Cha chini ilikuwa sh 810/= thamani ya pesa ya wakati huo na wakati huu si sawa kitumbua ilikuwa senti 10 Sasa hivi sh 100/=. Malipo yao yaangalie thamani ya pesa imepanda mara ngapi ndo haki yao maana wanaishia maisha ya leo 2024 siyo ya 1985!
 
Si huwa tunasikia kwamba Walimu ndo wana maisha maisha magumu sana kuliko watu wengine hapo Tanzania? Kulikoni tena?
 
mini amini nawaambia kwa vile baba na mama zenu wale mlitoa ahadi kuwawaongezea na mmedharau kwa vile "hawana cha kuwafanya" mtaona utawala wenu hautakaa utulie na mwisho lipo lisilo jema laweza kuwafata kokote mliko.
Amina, na uweza na mkono wa Mola wetu ukawaadhibu hawa watu
 
Mtu aliyefanya kazi mwaka 1985 mshahara kima Cha chini ilikuwa sh 810/= thamani ya pesa ya wakati huo na wakati huu si sawa kitumbua ilikuwa senti 10 Sasa hivi sh 100/=. Malipo yao yaangalie thamani ya pesa imepanda mara ngapi ndo haki yao maana wanaishia maisha ya leo 2024 siyo ya 1985!
Aione @mwigulunchemba
 
Back
Top Bottom