Mkuu umeandika nini?N children ngumu sana hiu
Moja wapo ya madai yao unayajua vizuri sana, Posho ya Maji, Umeme na Pango.
Zile ni kwa ajili ya 'Kiwi'Posho za daladala kila siku haziwatoshi
Tuliza mihemko!!Posho za daladala kila siku haziwatoshi
Una akili mbovu!! Aliyekwambia div 4 hatakiwi kuandikishwa majeshini ni nani,,,hata std 7 wanahitajika,,,,malipo ya vyombo vya ulinzi hutegemea zaidi busara kuliko sheria za utumishi.Unaanzaje kumlipa failure vitu vyote hivyo?
NB.
Rejelea kauli ya waziri wa mambo ya ndani aliyepita akielezea sababu za kwa nini huajiri askari waliofeli au kupata alama mbovu mbovu
Una akili mbovu!! Aliyekwambia div 4 hatakiwi kuandikishwa majeshini ni nani,,,hata std 7 wanahitajika,,,,malipo ya vyombo vya ulinzi hutegemea zaidi busara kuliko sheria za utumishi.
Police wana familia,wake,jamaa na watotoHao Policcm wasote tu.
Afande nenda kajisomee PGO kwanza ndiyo urudi hapa.Police wana familia,wake,jamaa na watoto
Wanahitaji elimu,bima za afya ,chakula bora na malazi.
Suala la wewe kuona wanaipendelea CCM ni nidhamu ya kazi,hawawezi kuwagomea mabosi na waajiri wao.
Nb:hiyo simu uliyotumia kucomment hapa wahuni walipita nayo lazima ukimbilie polisi
Unaongea vema!! Ila ujue si kila polisi ni mpumbavuAfande nenda kajisomee PGO kwanza ndiyo urudi hapa.
Mnavyowaonea raiya na kuwabambikia kesi kwa kisingizio cha nidhamu ya kazi mnadhani hao raiya hawana ndugu na watoto wanaowategemea?
mkuu children ipi!?..N children ngumu sana hiu