Mwigulu una kiporo Wizara ya Mambo ya ndani. Sasa una nafasi kimalize

Mwigulu una kiporo Wizara ya Mambo ya ndani. Sasa una nafasi kimalize

Mishenyi

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2019
Posts
464
Reaction score
748
Mh. Mwigulu ulikuwa Waziri wa Mambo ya Ndani na ulifanya kazi kubwa sana ya kuwatembelea na kuwasikiliza askari wa vyombo mbali mbali vilivyopo wizara ya mambo ya ndani. Moja wapo ya madai yao unayajua vizuri sana, Posho ya Maji, Umeme na Pango.

Sasa upo wizara ya fedha kwenye bajeti hii askari wanategemea kwa uzoefu ulio nao kwa madai hayo utakubali kuidhinisha fungu la kuanza kulipa posho hizo kwenye mishahara ya askari hao moja kwa moja.

Nikutakie kazi njema.
 
Moja wapo ya madai yao unayajua vizuri sana, Posho ya Maji, Umeme na Pango.

Unaanzaje kumlipa failure vitu vyote hivyo?

NB.
Rejelea kauli ya waziri wa mambo ya ndani aliyepita akielezea sababu za kwa nini huajiri askari waliofeli au kupata alama mbovu mbovu
 
Posho za daladala kila siku haziwatoshi
 
U
Unaanzaje kumlipa failure vitu vyote hivyo?

NB.
Rejelea kauli ya waziri wa mambo ya ndani aliyepita akielezea sababu za kwa nini huajiri askari waliofeli au kupata alama mbovu mbovu
Una akili mbovu!! Aliyekwambia div 4 hatakiwi kuandikishwa majeshini ni nani,,,hata std 7 wanahitajika,,,,malipo ya vyombo vya ulinzi hutegemea zaidi busara kuliko sheria za utumishi.
 
Una akili mbovu!! Aliyekwambia div 4 hatakiwi kuandikishwa majeshini ni nani,,,hata std 7 wanahitajika,,,,malipo ya vyombo vya ulinzi hutegemea zaidi busara kuliko sheria za utumishi.

Punguza munkari...

Soma hiyo nukuu nimekuwekea hapo, kama una tusi lolote basi itukane serikali yako...


Thread 'Kutoa ajira kwa waliofeli divisheni 4 tena kuanzia point 28 mpaka 31 ni kutuharibia jamii' Kutoa ajira kwa waliofeli divisheni 4 tena kuanzia point 28 mpaka 31 ni kutuharibia jamii

 
Hao Policcm wasote tu.
Police wana familia,wake,jamaa na watoto
Wanahitaji elimu,bima za afya ,chakula bora na malazi.

Suala la wewe kuona wanaipendelea CCM ni nidhamu ya kazi,hawawezi kuwagomea mabosi na waajiri wao.

Nb:hiyo simu uliyotumia kucomment hapa wahuni walipita nayo lazima ukimbilie polisi
 
Police wana familia,wake,jamaa na watoto
Wanahitaji elimu,bima za afya ,chakula bora na malazi.

Suala la wewe kuona wanaipendelea CCM ni nidhamu ya kazi,hawawezi kuwagomea mabosi na waajiri wao.

Nb:hiyo simu uliyotumia kucomment hapa wahuni walipita nayo lazima ukimbilie polisi
Afande nenda kajisomee PGO kwanza ndiyo urudi hapa.

Mnavyowaonea raiya na kuwabambikia kesi kwa kisingizio cha nidhamu ya kazi mnadhani hao raiya hawana ndugu na watoto wanaowategemea?
 
Afande nenda kajisomee PGO kwanza ndiyo urudi hapa.

Mnavyowaonea raiya na kuwabambikia kesi kwa kisingizio cha nidhamu ya kazi mnadhani hao raiya hawana ndugu na watoto wanaowategemea?
Unaongea vema!! Ila ujue si kila polisi ni mpumbavu
 
Back
Top Bottom