Mwigulu unampigia nani kelele bungeni?

Mwigulu unampigia nani kelele bungeni?

Kamundu

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2006
Posts
7,823
Reaction score
10,857
Mwigulu amekuwa alitoa hoja kwa hisia kali sana na kupiga kelele kama vile anaongea na wezi. Wabunge karibu wote ni fake wa chama chako sasa lawama za nini na kwa nani hasa. Makelele makalele ni kwa nani?

Hivi hakuna watu wengine wangeweza kufanya vizuri kuliko jamaa huyu ambaye ameshaanza kujilimbikizia mali . Kafanye biashara zako za mabasi waachie wakina Dr Kimei wafanye kazi
 
Mwigulu amekuwa alitoa hoja kwa hisia kali sana na kupiga kelele kama vile anaongea na wezi. Wabunge karibu wote ni fake wa chama chako sasa lawama za nini na kwa nani hasa. Makelele makalele ni kwa nani?

Hivi hakuna watu wengine wangeweza kufanya vizuri kuliko jamaa huyu ambaye ameshaanza kujilimbikizia mali . Kafanye biashara zako za mabasi waachie wakina Dr Kimei wafanye kazi
Wanaiba huku wakijifanya wazalendo, wanaongea kwa hisia na uchungu lakini eti hawataki katiba mpya
 
Mwigulu amekuwa alitoa hoja kwa hisia kali sana na kupiga kelele kama vile anaongea na wezi. Wabunge karibu wote ni fake wa chama chako sasa lawama za nini na kwa nani hasa. Makelele makalele ni kwa nani?

Hivi hakuna watu wengine wangeweza kufanya vizuri kuliko jamaa huyu ambaye ameshaanza kujilimbikizia mali . Kafanye biashara zako za mabasi waachie wakina Dr Kimei wafanye kazi
Umesema ukweli kabisa!
 
Anadai wafanyabiashara mmepewa idhini ya kukusanya Kodi Kwa niaba ya Serikali, hamzileti,

Eti hayo ni Kweli?

Kiukweli Mapato TRA yameshuka sana hapo hapo tunaambiwa wamevuka lengo🤔

Sijui hapo unachukua kipi na kuacha kipi!!
 
Mwigulu amekuwa alitoa hoja kwa hisia kali sana na kupiga kelele kama vile anaongea na wezi. Wabunge karibu wote ni fake wa chama chako sasa lawama za nini na kwa nani hasa. Makelele makalele ni kwa nani?

Hivi hakuna watu wengine wangeweza kufanya vizuri kuliko jamaa huyu ambaye ameshaanza kujilimbikizia mali . Kafanye biashara zako za mabasi waachie wakina Dr Kimei wafanye kazi
Sasa Kimei yupi? Huyu huyu wa CRDB aliyekusanya wachaga wote huko CRDB?,, 😂😂😂
 
Mwigulu amekuwa alitoa hoja kwa hisia kali sana na kupiga kelele kama vile anaongea na wezi. Wabunge karibu wote ni fake wa chama chako sasa lawama za nini na kwa nani hasa. Makelele makalele ni kwa nani?

Hivi hakuna watu wengine wangeweza kufanya vizuri kuliko jamaa huyu ambaye ameshaanza kujilimbikizia mali . Kafanye biashara zako za mabasi waachie wakina Dr Kimei wafanye kazi
Mwigulu jembe sana
 
Mwigulu amekuwa alitoa hoja kwa hisia kali sana na kupiga kelele kama vile anaongea na wezi. Wabunge karibu wote ni fake wa chama chako sasa lawama za nini na kwa nani hasa. Makelele makalele ni kwa nani?

Hivi hakuna watu wengine wangeweza kufanya vizuri kuliko jamaa huyu ambaye ameshaanza kujilimbikizia mali . Kafanye biashara zako za mabasi waachie wakina Dr Kimei wafanye kazi
Acha kumlinganisha Mwigulu na watu wa ajabu ajabu
 
Back
Top Bottom