Mwigulu amekuwa alitoa hoja kwa hisia kali sana na kupiga kelele kama vile anaongea na wezi. Wabunge karibu wote ni fake wa chama chako sasa lawama za nini na kwa nani hasa. Makelele makalele ni kwa nani?
Hivi hakuna watu wengine wangeweza kufanya vizuri kuliko jamaa huyu ambaye ameshaanza kujilimbikizia mali . Kafanye biashara zako za mabasi waachie wakina Dr Kimei wafanye kazi
Hivi hakuna watu wengine wangeweza kufanya vizuri kuliko jamaa huyu ambaye ameshaanza kujilimbikizia mali . Kafanye biashara zako za mabasi waachie wakina Dr Kimei wafanye kazi