Mwigulu unampigia nani kelele bungeni?

Mwigulu unampigia nani kelele bungeni?

Nadhani kuna kitu WF hajakitizama vizuri!

Tatizo kubwa kwa Biashara Nyingi ni pale Umeme ulipokuwa unakatika sanaaa!

Viwanda viliparalyse!

Lazima effect zake zianze kuonekana sasa!

Nguvu kubwa iende kwenye kuimarisha upatikanaji wa hii nishati then Hazina itajaa pesa tu!

Wafanyabiashara siku hizi wanaona Fahari ya kulipa kodi lakini ni lazima kuwepo na balance kutoka upande wa Pili!

Sent from my SM-A307FN using JamiiForums mobile app
Kweli kabisa,

Umeme uliathiri uzalishaji, mapato lazima yashuke,

Awafuate Wauza majenereta wampe Kodi!!
 
Wanajuana vizuri Wabunge,Mawaziri na TRA yao. Wabunge na wanasiasa CCM wote ni wafanya biashara ijapokuwa wengine ni kafara
 
Ningekuwa ndiyo ninayeteua huyo ningemfyekelea mbali. Hakuna maendeleo anayoleta kwenye sekta ya fedha. Kila siku thamani ya fedha ya Tanzania inapungua. ukilinganisha na sarafu ya nchi jirani.
 
Back
Top Bottom