Mtu kama Mwigulu anapaswa kuwa Rais.Wizara mizigo kabisa ni hizi Mwigulu Nchemba na Nape Yape yaani Mwigulu anajua kukopa tu na Nape anajua kufungia mitandao tu ,nenda hapo Kenya waziri wa uchumi,nenda Rwanda waziri wao anawaza kubadilisha technology kidunia yaani vichekesho tu
Wanaiba huku wakijifanya wazalendo, wanaongea kwa hisia na uchungu lakini eti hawataki katiba mpyaMwigulu amekuwa alitoa hoja kwa hisia kali sana na kupiga kelele kama vile anaongea na wezi. Wabunge karibu wote ni fake wa chama chako sasa lawama za nini na kwa nani hasa. Makelele makalele ni kwa nani?
Hivi hakuna watu wengine wangeweza kufanya vizuri kuliko jamaa huyu ambaye ameshaanza kujilimbikizia mali . Kafanye biashara zako za mabasi waachie wakina Dr Kimei wafanye kazi
Umesema ukweli kabisa!Mwigulu amekuwa alitoa hoja kwa hisia kali sana na kupiga kelele kama vile anaongea na wezi. Wabunge karibu wote ni fake wa chama chako sasa lawama za nini na kwa nani hasa. Makelele makalele ni kwa nani?
Hivi hakuna watu wengine wangeweza kufanya vizuri kuliko jamaa huyu ambaye ameshaanza kujilimbikizia mali . Kafanye biashara zako za mabasi waachie wakina Dr Kimei wafanye kazi
Sasa Kimei yupi? Huyu huyu wa CRDB aliyekusanya wachaga wote huko CRDB?,, 😂😂😂Mwigulu amekuwa alitoa hoja kwa hisia kali sana na kupiga kelele kama vile anaongea na wezi. Wabunge karibu wote ni fake wa chama chako sasa lawama za nini na kwa nani hasa. Makelele makalele ni kwa nani?
Hivi hakuna watu wengine wangeweza kufanya vizuri kuliko jamaa huyu ambaye ameshaanza kujilimbikizia mali . Kafanye biashara zako za mabasi waachie wakina Dr Kimei wafanye kazi
Mwigulu jembe sanaMwigulu amekuwa alitoa hoja kwa hisia kali sana na kupiga kelele kama vile anaongea na wezi. Wabunge karibu wote ni fake wa chama chako sasa lawama za nini na kwa nani hasa. Makelele makalele ni kwa nani?
Hivi hakuna watu wengine wangeweza kufanya vizuri kuliko jamaa huyu ambaye ameshaanza kujilimbikizia mali . Kafanye biashara zako za mabasi waachie wakina Dr Kimei wafanye kazi
Sanaaa jamaa Yuko vizuri sanaMwigulu jembe sana
Acha kumlinganisha Mwigulu na watu wa ajabu ajabuMwigulu amekuwa alitoa hoja kwa hisia kali sana na kupiga kelele kama vile anaongea na wezi. Wabunge karibu wote ni fake wa chama chako sasa lawama za nini na kwa nani hasa. Makelele makalele ni kwa nani?
Hivi hakuna watu wengine wangeweza kufanya vizuri kuliko jamaa huyu ambaye ameshaanza kujilimbikizia mali . Kafanye biashara zako za mabasi waachie wakina Dr Kimei wafanye kazi
Mwigulu mwamba sana hata hivyoAcha kumlinganisha Mwigulu na watu wa ajabu ajabu
Sahihi jamaa Yuko Vizuri mmnoMwigulu mwamba sana hata hivyo
Kichekesho kama hiki tubonyeze ngapi? Lakini siku hizi watu urais wanauchukulia simple sana, aisee.Mtu kama Mwigulu anapaswa kuwa Rais.
Nape ndio baba laoMwigulu jembe sana
Kama Samia na ule unyoro nyoro wake ameweza kuwa Rais, wewe unashindwa nini ?Kichekesho kama hiki tubonyeze ngapi? Lakini siku hizi watu urais wanauchukulia simple sana, aisee.
Sema unawivu tu na watu wenye pesaKatika wabunge nawadharau ni huyu kibendera na mwenzie Nape. Wanafiki sana.
Hasa napa bongoKichekesho kama hiki tubonyeze ngapi? Lakini siku hizi watu urais wanauchukulia simple sana, aisee.