Stan Mashamba
JF-Expert Member
- Apr 22, 2020
- 3,183
- 2,479
Huyu ndiye PhD holder wa uchumi!!! "It is a pity to have such leaders"!Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Mwigulu Nchemba amesema wananchi wasiwaze kuhusu gharama za miamala ya simu kwa kuwa mzunguko wa fedha utaongezeka
Akiongea katika kipindi cha Aridhio, TBC amesema gharama za miamala hazina maana kwa kuwa watakuwa wanapata fedha zaidi katika kipindi hichi
Amesema serikali imejipanga kulipa madeni ili wananchi wawe na fedha
View attachment 1857046
Nashauri wabunge malipo yao kwa mwezi kuanzia mshahara hadi posho isizidi milioni 4, kile kinachozidi kihamishiwe hukoIla watanzania pia tujaribu kushauri ..je ingefanyika kitu gani ili serikali ipate fedha za kugharimia vitu kama barabara za lami vijijini..shuke zilizobireka vijijin..na kutoa ahira za walimu na watu wa afya..Naomba tutoe mawazo
Hii inadhihirisha kuwa viongozi tulionao wamechoka kufikiri na kutafiti. Ni wakati muafaka kwao kuachia ngazi.Ila watanzania pia tujaribu kushauri ..je ingefanyika kitu gani ili serikali ipate fedha za kugharimia vitu kama barabara za lami vijijini..shuke zilizobireka vijijin..na kutoa ahira za walimu na watu wa afya..Naomba tutoe mawazo
Swali fikirish Kwanini mlikuwa hamlipi madeniWaziri wa Fedha na Mipango Dkt. Mwigulu Nchemba amesema wananchi wasiwaze kuhusu gharama za miamala ya simu kwa kuwa mzunguko wa fedha utaongezeka
Akiongea katika kipindi cha Aridhio, TBC amesema gharama za miamala hazina maana kwa kuwa watakuwa wanapata fedha zaidi katika kipindi hichi
Amesema serikali imejipanga kulipa madeni ili wananchi wawe na fedha
View attachment 1857046
Hawa watu wamelewa madaraka na wamebaki kukebehi watu. Wanaona kila mtu asiyekuwa kiongozi ni mjinga na unaweza kumdanganya kadiri unavyotaka. Kwa nini wasisubiri kwanza wananchi wapate hizo fedha ili waanze makato? Upole na woga wa watanzania umefanya viongozi wafanye wanavyotaka!
Wakafie mbali hukoWaziri wa Fedha na Mipango Dkt. Mwigulu Nchemba amesema wananchi wasiwaze kuhusu gharama za miamala ya simu kwa kuwa mzunguko wa fedha utaongezeka
Akiongea katika kipindi cha Aridhio, TBC amesema gharama za miamala hazina maana kwa kuwa watakuwa wanapata fedha zaidi katika kipindi hichi
Amesema serikali imejipanga kulipa madeni ili wananchi wawe na fedha
View attachment 1857046
Ndege tulilipa kwa dollars hizi hela za nauli zann?Tulifurahia mindege kununuliwa kwa malipo cash. Sasa cash ndo tunairejesha hazina kwa style hiyo ya solidarity fund. Donor contre sasa imegeuka kuwa solidarity contre
Eti nini? Dogo acha zako Aisee. Yani tulipwe milion 4?Nashauri wabunge malipo yao kwa mwezi kuanzia mshahara hadi posho isizidi milioni 4, kile kinachozidi kihamishiwe huko
Kwani JPM aliwezaje kupata pesa za miradi hiyo. Kuhusu barabara kuna Road Fund ilianzishwa wakati wa Mkapa. Income tax inafanya kazi gani? Sales Tax zinafanya kazi gani? Kabla ya Rais SSH Serikali ilikuwa inapata wapi pesa? Huwezi kuwaacha wafanya biashara walipe wanazotaka lakini unachukua double taxation kutoka kwa walalahoi - Aibu!Ila watanzania pia tujaribu kushauri ..je ingefanyika kitu gani ili serikali ipate fedha za kugharimia vitu kama barabara za lami vijijini..shuke zilizobireka vijijin..na kutoa ahira za walimu na watu wa afya..Naomba tutoe mawazo