Mwigulu: Wananchi wanaenda kupata fedha nyingi, watazoea makato

Mwigulu: Wananchi wanaenda kupata fedha nyingi, watazoea makato

Kipi kilipaswa kutangulia, yai au kuku? Hela au makato?
 
Ila watanzania pia tujaribu kushauri ..je ingefanyika kitu gani ili serikali ipate fedha za kugharimia vitu kama barabara za lami vijijini..shuke zilizobireka vijijin..na kutoa ahira za walimu na watu wa afya..Naomba tutoe mawazo
Wabane matumizi kama kuacha kununua mashangingi watumie gari za kawaida, posho zipungue, bajeti za chai zipungue au ziondoke ni. Vikao Vya binge vilipwe posho ndiyo elfu 50 kwa kikao ni. Pia walipe Kodi ya PAYE.
 
Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Mwigulu Nchemba amesema wananchi wasiwaze kuhusu gharama za miamala ya simu kwa kuwa mzunguko wa fedha utaongezeka

Akiongea katika kipindi cha Aridhio, TBC amesema gharama za miamala hazina maana kwa kuwa watakuwa wanapata fedha zaidi katika kipindi hichi

Amesema serikali imejipanga kulipa madeni ili wananchi wawe na fedha

View attachment 1857046
Acha nihifadhi tusi langu kwa matumizi ya baadae.
 
Ila watanzania pia tujaribu kushauri ..je ingefanyika kitu gani ili serikali ipate fedha za kugharimia vitu kama barabara za lami vijijini..shuke zilizobireka vijijin..na kutoa ahira za walimu na watu wa afya..Naomba tutoe mawazo
Sahihisha kidogo mwandiko mkuu Mimi sijakuelewa
 
Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Mwigulu Nchemba amesema wananchi wasiwaze kuhusu gharama za miamala ya simu kwa kuwa mzunguko wa fedha utaongezeka

Akiongea katika kipindi cha Aridhio, TBC amesema gharama za miamala hazina maana kwa kuwa watakuwa wanapata fedha zaidi katika kipindi hichi

Amesema serikali imejipanga kulipa madeni ili wananchi wawe na fedha

View attachment 1857046
Madeni yapi tena! Mlisema mmeyamaliza kwa pesa yetu ya ndani sasa hayo yametoka wapi?
 
Kwann corona bado inahurumia watu dhalimu isiiishe bila kuondosha wasio na faida duniani.
 
Kwani kila mwananchi anaidai serikali? huu uongo wake hautoshi, angesema serikali imejiandaa kugawa fedha kama pipi mitaani ningeuelewa huo uongo wake, naona sasa ameamua kubuni kila aina ya jibu kila anapoulizwa hilo swali.

Kama serikali inafedha hizo anazosema itagawa, kwanini imeleta hizo tozo?
 
mwigulu ni poyoyo asiejua lolote inasikitisha kupewa wizara nyeti kama hiyo.
 
Hii nchi tuna ma professor wa uchumi tuna kwama wapi kwanin tusipate ushauri kutoka kwao na tuweke Mambo ya siasa pembeni hii ni elimu sio siasa
 
Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Mwigulu Nchemba amesema wananchi wasiwaze kuhusu gharama za miamala ya simu kwa kuwa mzunguko wa fedha utaongezeka

Akiongea katika kipindi cha Aridhio, TBC amesema gharama za miamala hazina maana kwa kuwa watakuwa wanapata fedha zaidi katika kipindi hichi

Amesema serikali imejipanga kulipa madeni ili wananchi wawe na fedha

View attachment 1857046
Mbona tushasahau.
Tushagoma ngoja tuone mapato ya kodi yatakua bei gani this month
 
Wapunguze Tozo

Hicho walicholenga kupata kupitia hizi Tozo za kizalendo watakikosa.
Mkuu washakosa.
Kwa sasa miamala kwa kutumia simu imepungua.
So makampuni ya simu yamekosa taxable income na pia tax from miamala itakua ndogo.
Bora wangeacha wangepata tax toka makampuni ya simu
 
Ila watanzania pia tujaribu kushauri ..je ingefanyika kitu gani ili serikali ipate fedha za kugharimia vitu kama barabara za lami vijijini..shuke zilizobireka vijijin..na kutoa ahira za walimu na watu wa afya..Naomba tutoe mawazo
Weka kwenye bia na kitimoto[emoji849][emoji849][emoji849]
 
Sisi tunaendelea kumlilia Mungu,na siku hizi majibu hayachelewi
FB_IMG_1627981456984.jpg
 
Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Mwigulu Nchemba amesema wananchi wasiwaze kuhusu gharama za miamala ya simu kwa kuwa mzunguko wa fedha utaongezeka

Akiongea katika kipindi cha Aridhio, TBC amesema gharama za miamala hazina maana kwa kuwa watakuwa wanapata fedha zaidi katika kipindi hichi

Amesema serikali imejipanga kulipa madeni ili wananchi wawe na fedha

View attachment 1857046
huyu mnyiramba ametuchoka.
 
Back
Top Bottom