Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wabane matumizi kama kuacha kununua mashangingi watumie gari za kawaida, posho zipungue, bajeti za chai zipungue au ziondoke ni. Vikao Vya binge vilipwe posho ndiyo elfu 50 kwa kikao ni. Pia walipe Kodi ya PAYE.Ila watanzania pia tujaribu kushauri ..je ingefanyika kitu gani ili serikali ipate fedha za kugharimia vitu kama barabara za lami vijijini..shuke zilizobireka vijijin..na kutoa ahira za walimu na watu wa afya..Naomba tutoe mawazo
Acha nihifadhi tusi langu kwa matumizi ya baadae.Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Mwigulu Nchemba amesema wananchi wasiwaze kuhusu gharama za miamala ya simu kwa kuwa mzunguko wa fedha utaongezeka
Akiongea katika kipindi cha Aridhio, TBC amesema gharama za miamala hazina maana kwa kuwa watakuwa wanapata fedha zaidi katika kipindi hichi
Amesema serikali imejipanga kulipa madeni ili wananchi wawe na fedha
View attachment 1857046
Sahihisha kidogo mwandiko mkuu Mimi sijakuelewaIla watanzania pia tujaribu kushauri ..je ingefanyika kitu gani ili serikali ipate fedha za kugharimia vitu kama barabara za lami vijijini..shuke zilizobireka vijijin..na kutoa ahira za walimu na watu wa afya..Naomba tutoe mawazo
Madeni yapi tena! Mlisema mmeyamaliza kwa pesa yetu ya ndani sasa hayo yametoka wapi?Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Mwigulu Nchemba amesema wananchi wasiwaze kuhusu gharama za miamala ya simu kwa kuwa mzunguko wa fedha utaongezeka
Akiongea katika kipindi cha Aridhio, TBC amesema gharama za miamala hazina maana kwa kuwa watakuwa wanapata fedha zaidi katika kipindi hichi
Amesema serikali imejipanga kulipa madeni ili wananchi wawe na fedha
View attachment 1857046
Yule ni kula kulala na wanasaza kodi zetu awajui kama kuna watu wanakufa kwa kukosa 500 ya panadol.Anaongea pumba kwa kuwa anajua wa TZ, ni wapumbavu na malofa hivyo hawawezi kupinga alichopanga
Kwani kila mwananchi anaidai serikali? huu uongo wake hautoshi, angesema serikali imejiandaa kugawa fedha kama pipi mitaani ningeuelewa huo uongo wake, naona sasa ameamua kubuni kila aina ya jibu kila anapoulizwa hilo swali.
Kweli kabisaYule ni kula kulala na wanasaza kodi zetu awajui kama kuna watu wanakufa kwa kukosa 500 ya panadol.
Mswahili mwenye akili ni yule mwenye njaa.
Mbona tushasahau.Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Mwigulu Nchemba amesema wananchi wasiwaze kuhusu gharama za miamala ya simu kwa kuwa mzunguko wa fedha utaongezeka
Akiongea katika kipindi cha Aridhio, TBC amesema gharama za miamala hazina maana kwa kuwa watakuwa wanapata fedha zaidi katika kipindi hichi
Amesema serikali imejipanga kulipa madeni ili wananchi wawe na fedha
View attachment 1857046
Mkuu washakosa.Wapunguze Tozo
Hicho walicholenga kupata kupitia hizi Tozo za kizalendo watakikosa.
Weka kwenye bia na kitimoto[emoji849][emoji849][emoji849]Ila watanzania pia tujaribu kushauri ..je ingefanyika kitu gani ili serikali ipate fedha za kugharimia vitu kama barabara za lami vijijini..shuke zilizobireka vijijin..na kutoa ahira za walimu na watu wa afya..Naomba tutoe mawazo
huyu mnyiramba ametuchoka.Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Mwigulu Nchemba amesema wananchi wasiwaze kuhusu gharama za miamala ya simu kwa kuwa mzunguko wa fedha utaongezeka
Akiongea katika kipindi cha Aridhio, TBC amesema gharama za miamala hazina maana kwa kuwa watakuwa wanapata fedha zaidi katika kipindi hichi
Amesema serikali imejipanga kulipa madeni ili wananchi wawe na fedha
View attachment 1857046