Mwigulu: Wananchi wanaenda kupata fedha nyingi, watazoea makato

Mwigulu: Wananchi wanaenda kupata fedha nyingi, watazoea makato

Ni kweli kabisa watumishi wakilipwa watu wajue kwamba hao waliolipwa watakuwa na hela za kununua magimbi mihogo mahindi na mifugo mfano kuku wa kuchinja kutoka kwa wananchi wa kawaida hivyo kuongeza mzunguko wa hela na kila mtu anayefanya kazi atafaidi
 
Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Mwigulu Nchemba amesema wananchi wasiwaze kuhusu gharama za miamala ya simu kwa kuwa mzunguko wa fedha utaongezeka

Akiongea katika kipindi cha Aridhio, TBC amesema gharama za miamala hazina maana kwa kuwa watakuwa wanapata fedha zaidi katika kipindi hichi

Amesema serikali imejipanga kulipa madeni ili wananchi wawe na fedha

View attachment 1857046
Jitu mbovu sn hili
 
…. This IDIOT has a PhD in economics 😂😂😂😂

Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Mwigulu Nchemba amesema wananchi wasiwaze kuhusu gharama za miamala ya simu kwa kuwa mzunguko wa fedha utaongezeka

Akiongea katika kipindi cha Aridhio, TBC amesema gharama za miamala hazina maana kwa kuwa watakuwa wanapata fedha zaidi katika kipindi hichi

Amesema serikali imejipanga kulipa madeni ili wananchi wawe na fedha

View attachment 1857046
 
Ni kweli kabisa watumishi wakilipwa watu wajue kwamba hao waliolipwa watakuwa na hela za kununua magimbi mihogo mahindi na mifugo mfano kuku wa kuchinja kutoka kwa wananchi wa kawaida hivyo kuongeza mzunguko wa hela na kila mtu anayefanya kazi atafaidi
Hatari sn
 
Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Mwigulu Nchemba amesema wananchi wasiwaze kuhusu gharama za miamala ya simu kwa kuwa mzunguko wa fedha utaongezeka

Akiongea katika kipindi cha Aridhio, TBC amesema gharama za miamala hazina maana kwa kuwa watakuwa wanapata fedha zaidi katika kipindi hichi

Amesema serikali imejipanga kulipa madeni ili wananchi wawe na fedha

View attachment 1857046
Akili matope kabisa huyu. Sequential flow na logic hana kbsa kwenye thinking yake.
 
Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Mwigulu Nchemba amesema wananchi wasiwaze kuhusu gharama za miamala ya simu kwa kuwa mzunguko wa fedha utaongezeka

Akiongea katika kipindi cha Aridhio, TBC amesema gharama za miamala hazina maana kwa kuwa watakuwa wanapata fedha zaidi katika kipindi hichi

Amesema serikali imejipanga kulipa madeni ili wananchi wawe na fedha

View attachment 1857046
Halafu pale wizara ya fedha ,huwa wanajitchotea ,tunakatwa makodi halafu Kesho na keshokutwa unasikia wizara ya fedha imejilipa 1.6B Kama posho ya kuanda taarifa ya mpango wa manunuzi
 
Nimepata sababu ni kwanini watu wengi wa hapa Arusha wanawadharau sana watu wa kabila la Wanyiramba aseeee daaaah! sio kwa pumba hii aliyokuja nayo waziri
 
kwanini wasingeachia Pesa kwanza alafu ndio wakaongeza kodi za miamala
 
Nimepata sababu ni kwanini watu wengi wa hapa Arusha wanawadharau sana watu wa kabila la Wanyiramba aseeee daaaah! sio kwa pumba hii aliyokuja nayo waziri
Sio kweli kuhusu wanyiramba. Matatizo ya mtu binafsi hayana uhusiano na kabila analotokea. Kama yeye umeona ana mapungufu usihusishe na watu wa kabila analotokea kuwa wote ni sawa.
 
Dah jamaa anaoana wananchi Kama watoto wadogo flani hivi.
Hii staili inatumika Sana kuwadanganya watoto
 
Back
Top Bottom