Mwigulu: Wananchi wanaenda kupata fedha nyingi, watazoea makato

Mwigulu: Wananchi wanaenda kupata fedha nyingi, watazoea makato

Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema serikali itaingiza fedha nyingi kwenye uchumi kukuza mzunguko wa fedha ili kuondoa malalamiko ya wananchi kuhusu makato. Amesema malalamiko hayo ni kwa vile mtu akikatwa hajui atapata lini nyingine, ila fedha zikiwa nyingi, yataisha.
 
Waziri kichwa maji kuwahi kutokea Africa Mashariki na Kati. Anatakiwa ajengewe sanamu lake la ukumbusho Dodoma.

Huyu bichwa boxi hajawahi kufanya jambo la heri katika uteuzi wote aliowahi kuteuliwa. Alishauwa watu akamwagwa, alishafanya ufisadi akamwagwa, akafisadi tena akamwagwa. Sasa kateuliwa tena kuliangamiza taifa na raia wote.

Magufuli na ujeuri wake wote alishindwa kufanya nae kazi serikalini, akaamua kumtumbua. Sasa Mama Samia na upole wake ndio ataweza???
 
Uwe na wewe mda mwingine unashirikisha ubongo wako sio kuleta ushabiki maandazi tu.

Mtu akilalamika bila kuwa na suluhu ya anacholalamikia ukamsaidia kufikiri ni ushabiki maandazi??? Basi heri akae kimya

Shukuru jinsia yako mama D, ungefurahi na roho yako. Nimesema hivo kwasababu sijawahi kugombana na nina waheshimu sana wanawake, hata kama ni malaya wa kujiuza barabarani huwa nawaheshimu tu.


Imefanyaje tena jinsia ya kike jameni??
Halafu hao wa kujiuza barabarani unajua wateja wake ni wanaume🤔🤔

Tena 😅😅😅😅😅
 
Mtu akilalamika bila kuwa na suluhu ya anacholalamikia ukamsaidia kufikiri ni ushabiki maandazi??? Basi heri akae kimya




Imefanyaje tena jinsia ya kike jameni??
Halafu hao wa kujiuza barabarani unajua wateja wake ni wanaume🤔🤔

Tena 😅😅😅😅😅
Katika masuala ya msingi kama haya haihitaji mtu kujitoa akili. Kuwa objective. Ni issue inayokugusa mpaka wewe na ndugu na jamaa zako. Sasa ukileta tu ushabiki wa vyama unaonekana hamnazo.
 
Katika masuala ya msingi kama haya haihitaji mtu kujitoa akili. Kuwa objective. Ni issue inayokugusa mpaka wewe na ndugu na jamaa zako. Sasa ukileta tu ushabiki wa vyama unaonekana hamnazo.
Huyo sio mzima, achana nae tu.

Ila mpaka ikifikia mwezi wa 12 kwenye maandalizi ya Xmass na New Year, mbona taifa zima tutaongea lugha moja. Hii ishue ni ya kitaifa sio ya mtu mmoja mmoja, ila watu wamekalia ujuha wa kisiasa za CCM. Time will tell.

Kwanza picha litaanza mwezi wa 10, wakulima wakianza kujiandaa na kilimo (Kodi Za Mbolea + Miamala Ya Simu). Kodi za mbolea mwanzo ilikua balaa wakulima hawakuziweza, sasa wameongeza kodi ndio mauwaji kabisa.
Screenshot_20210717-082614_Opera%20Mini.jpg


Jumlisha balaa la COVID sasa.

Halafu utasikia watu wanasema Waziri Wa Fedha Mwigulu Nchemba amebuni njia nzuri za kukusanya mapato na anahitaji pongezi, pongezi kweli au kujitoa ufahamu huko???
 
Huyo sio mzima, achana nae tu.

Ila mpaka ikifikia mwezi wa 12 kwenye maandalizi ya Xmass na New Year, mbona taifa zima tutaongea lugha moja. Hii ishue ni ya kitaifa ila watu wamekalia ujuha. Time will tell.

Kwanza picha litaanza mwezi wa 10, wakulima wakianza kujiandaa na kilimo. Kodi za mbolea mwanzo ilikua balaa, sasa ni mauwaji kabisa.View attachment 1856931
Huwa inatia sana hasira kuona kuna watu hawana upeo wakutambua/kuelewa masuala rahisi kama haya.

Mtu anashabikia tu utafikiri ni msukule haelewi chochote.
 
Katika masuala ya msingi kama haya haihitaji mtu kujitoa akili. Kuwa objective. Ni issue inayokugusa mpaka wewe na ndugu na jamaa zako. Sasa ukileta tu ushabiki wa vyama unaonekana hamnazo.

Issue sio maendeleo au mamivu binafsi tuu, hata maendeleo ya taifa yanapatikana kwa nchi kuweza kuwa na vyanzo vya mapato

Na sio kwamba najitoa akili hapana! Ninajaribu kuflow na mada

Kiukweli kabisa nadhani kabla ya kulalamika tungejenga hoja zenye kuleta ufahamu kuhusu hizi gharama tunazolalamikia, na nini serikali specifically inataka kuboresha kwa wananchi kupitia gharama hizi za nyongeza ingetufikisha mahala pa kuja mna mjadala wenye afya kwa maslahi ya taifa letu

Lakini hii ya lawama na kutukana tuu majibu yatakua ni hayohayo halafu mwisho hili nalo litapita

Cc My Sons Legacy
 
Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema serikali itaingiza fedha nyingi kwenye uchumi kukuza mzunguko wa fedha ili kuondoa malalamiko ya wananchi kuhusu makato. Amesema malalamiko hayo ni kwa vile mtu akikatwa hajui atapata lini nyingine, ila fedha zikiwa nyingi, yataisha.
Mjinga, mpuuzi kabisa, serikali itaingiza toka wapi wakati inazidi kuzichukuwa kwa wananchi?! Hivi huyu anaelewa anachosema au kachanganyikiwa?!
 
Laana ya kupata Viongozi kama hawa sijui ifanyike toba gani ili iondoke.
 
Back
Top Bottom