Mwigulu: Wananchi wanaenda kupata fedha nyingi, watazoea makato

Mwigulu: Wananchi wanaenda kupata fedha nyingi, watazoea makato

Duh naona hauelewi

Hivi kuongeza kodi kwenye mbegu na mbolea kuna tija ? , Kama issue ni pesa tu kwanini tusiongeze huko pia ? Ila utaona kwamba huu ni mtiririko chain fulani ambayo ni kama mto badala ya kulishia mifugo yako kwenye chanzo cha mto ni bora ukalishia mwishoni mwa mto ili hayo maji yawe yamefanya mengine kabla wewe haujayapata...

Vinginevyo ni kuchafua maji ambayo yatakuwa hayana maana tena.
Cha maana ni kupanga upya mtiririko mzima wa matumizi. Naamini serikali ingeweza kabisa kuamua isitoze kodi ili wananchi wasiumie mifukoni.

Lakini ni kitu kisichowezekana, hata hiyo mbolea upatikanaji wake una gharama zake na lazima pesa itumikayo irudishwe.

Tunataka huko vijijini wanafunzi wasiendelee kudhalilika, tunataka wajawazito wapunguziwe machungu.

Tunataka mengi mapya yatakayotupeleka uchumi wa kati na ule wa juu sasa gharama za kufika huko ni lazima zituhusu sisi watanzania.
 
Cha maana ni kupanga upya mtiririko mzima wa matumizi. Naamini serikali ingeweza kabisa kuamua isitoze kodi ili wananchi wasiumie mifukoni.

Lakini ni kitu kisichowezekana, hata hiyo mbolea upatikanaji wake una gharama zake na lazima pesa itumikayo irudishwe.

Tunataka huko vijijini wanafunzi wasiendelee kudhalilika, tunataka wajawazito wapunguziwe machungu.

Tunataka mengi mapya yatakayotupeleka uchumi wa kati na ule wa juu sasa gharama za kufika huko ni lazima zituhusu sisi watanzania.
Hivi mkuu tunaongea kueleweshana ili kutafuta njia mbadala na suluhisho au tunaongea ili mradi tubishane na kufanya justification ?

Kodi kwenye miamala zipo wala hazijaanza leo na zitaendelea kuwepo, mawakala na makampuni wamekuwa wakikatwa (ila kukatwa huko bado faida ilikuwepo hivyo hakuna tatizo)

Kupelekea makato kwa mteja direct na kwa hali ya juu kutapunguza wateja hivyo kupunguza mzunguko na mwisho wa siku kupunguza ambacho kingepatikana kwa Makampuni; Mawakala na Serikali kwa ujumla
 
Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Mwigulu Nchemba amesema wananchi wasiwaze kuhusu gharama za miamala ya simu kwa Katika mawziri mzunguko wa fedha utaongezeka

Akiongea katika kipindi cha Aridhio, TBC amesema gharama za miamala hazina maana kwa kuwa watakuwa wanapata fedha zaidi katika kipindi hichi

Amesema serikali imejipanga kulipa madeni ili wananchi wawe na fedha
Katika mawaziri vimeo wa fedha kutokea tz huyu n no 1.
 
Hizo fedha nyingi za kuwapa wananchi Mwigulu atazipata wapi?

Yaani uwatoze wananchi kodi kubwa ili hatimaye kuwapa fedha hizohizo?.
huu ni uchumi wa nchi ya kusadikika

Angekuwa anaongeza investments angekuwa anamake sense lakini hii ya kumkamua mlalahoi, inaonyesha hajui anachokizungumza
 
Si tulikubaliana hizi tozo zitaenda kujenga barabara na kupeleka maji vijijini? Mambo ya kulipa madeni yanatoka wapi tena jamani
 
Ukimsikiliza na kumuangalia huyu waziri ni kama anamkomoa Rais, ni kama anataka wananchi wakasirike zaidi. Gesture na body language yake inaonesha hayo.



Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Mwigulu Nchemba amesema wananchi wasiwaze kuhusu gharama za miamala ya simu kwa kuwa mzunguko wa fedha utaongezeka

Akiongea katika kipindi cha Aridhio, TBC amesema gharama za miamala hazina maana kwa kuwa watakuwa wanapata fedha zaidi katika kipindi hichi

Amesema serikali imejipanga kulipa madeni ili wananchi wawe na fedha
Huyu ni Makamu Rais

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
 
hizi hawa viongozi huwa wanafikiri kwa kutumia masaburi au...kwahiyo yeye sifa kujaza fedha nyingi na kutengeneza mfumuko wa bei..tujiandae Dollar kuuzwa elfu 5
 
hizi hawa viongozi huwa wanafikiri kwa kutumia masaburi au...kwahiyo yeye sifa kujaza fedha nyingi na kutengeneza mfumuko wa bei..tujiandae Dollar kuuzwa elfu 5

Tunamuomba Mh Waziri wa fedha alipe malimbikizo ya mshahara ya watumishi ili hiyo pesa iingie kwenye mzunguko
 
Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Mwigulu Nchemba amesema wananchi wasiwaze kuhusu gharama za miamala ya simu kwa kuwa mzunguko wa fedha utaongezeka

Akiongea katika kipindi cha Aridhio, TBC amesema gharama za miamala hazina maana kwa kuwa watakuwa wanapata fedha zaidi katika kipindi hichi

Amesema serikali imejipanga kulipa madeni ili wananchi wawe na fedha
Maneno ya kipuuzi toka kwa wazir mpuuzi
 
Ila watanzania pia tujaribu kushauri ..je ingefanyika kitu gani ili serikali ipate fedha za kugharimia vitu kama barabara za lami vijijini..shuke zilizobireka vijijin..na kutoa ahira za walimu na watu wa afya..Naomba tutoe mawazo
na sio za afya na ualim tu, umekariri kuwa ajira ni za afya na ualim tu, watoe na ajira za kada nyingine waache kukariri maisha.
 
Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Mwigulu Nchemba amesema wananchi wasiwaze kuhusu gharama za miamala ya simu kwa kuwa mzunguko wa fedha utaongezeka

Akiongea katika kipindi cha Aridhio, TBC amesema gharama za miamala hazina maana kwa kuwa watakuwa wanapata fedha zaidi katika kipindi hichi

Amesema serikali imejipanga kulipa madeni ili wananchi wawe na fedha
Hizo pesa wafidie za miamala
 
Kwa hiyo leo ndo wamekumbuka kuwalipa wazabuni, serikali gani inafanya dhuluma kwa raia......mbona wachina hamuwazungushi kulipa madai yao.
 
Back
Top Bottom