Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 25,874
- 36,030
Mkuu kwani si mlikuwa mnasema mama anafungua nchi na kurudisha hela mtaani ili muwe mnaziokota?Hiyo dharau.
Sasa kwanini unapinga mawazo ya mwigulu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu kwani si mlikuwa mnasema mama anafungua nchi na kurudisha hela mtaani ili muwe mnaziokota?Hiyo dharau.
Fedha itaongezekaje wakati uzalishaji unapungua?!Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Mwigulu Nchemba amesema wananchi wasiwaze kuhusu gharama za miamala ya simu kwa kuwa mzunguko wa fedha utaongezeka...
Kwani wewe hutaki hela zimwagike mtaani ili uwe unaziokota?
www.jamiiforums.com
Kwani hutaki hela zimwagike mtaani ili uwe unaokota?Ndivyo wanavyomdanganya Mama Samia, kila akitaka kuongea wanamwambia mama kaa kimya hawa watazoea. Safari hii hatuzoei.
Hivi mwigulu alishawahi wapi kushughulika na uchiumi nje ya siasa.Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Mwigulu Nchemba amesema wananchi wasiwaze kuhusu gharama za miamala ya simu kwa kuwa mzunguko wa fedha utaongezeka
Akiongea katika kipindi cha Aridhio, TBC amesema gharama za miamala hazina maana kwa kuwa watakuwa wanapata fedha zaidi katika kipindi hichi
Amesema serikali imejipanga kulipa madeni ili wananchi wawe na fedha
Mbona unanukuu mambo ambayo hayahusiani Mama alisema anafungua Nchi ili Wawekezaji waje kutoa Ajira ni jambo jema sanaMkuu kwani si mlikuwa mnasema mama anafungua nchi na kurudisha hela mtaani ili muwe mnaziokota?
Sasa kwanini unapinga mawazo ya mwigulu?
Sasa kufungua nchi si ndio huko?Mbona unanukuu mambo ambayo hayahusiani Mama alisema anafungua Nchi ili Wawekezaji waje kutoa Ajira ni jambo jema sana
Sisi 'bifu' yetu iko kwa Mwigulu na Zungu kuhusu hii tozo ilyogomewa na Wananchi
Ongeza kodi kwenye luxuries sio kwenye necessities..., unaongeza kodi kwenye miamala yaani ni kama wewe nakwambia kila ukinunua kutoka mfuko wa shati nakukata senti kadhaa ukitumia mfuko wa nyuma haukatwi unadhani utaendelea kuweka pesa mfuko wa shati ?Kodi zinaumiza lakini kwa nchi zetu hizi za dunia ya tatu ni kwamba hatuna ujanja, vinginevyo ni sisi wenyewe ambao tusipoona kinachofanyika cha kimaendeleo tunakuwa wa kwanza kuikejeli serikali tukisema hakuna cha maana inachofanya...
Miaka yote kodi imeongezwa kwenye hizo luxuries. Kumbuka hizo luxuries zina watu wengi tu wanaoishi kwa kuzitegemea, na kwao kilio ni kama hiki cha kwako.Ongeza kodi kwenye luxuries sio kwenye necessities..., unaongeza kodi kwenye miamala yaani ni kama wewe nakwambia kila ukinunua kutoka mfuko wa shati nakukata senti kadhaa ukitumia mfuko wa nyuma haukatwi unadhani utaendelea kuweka pesa mfuko wa shati ?
Uchumi wa kati halafu unamkamua mwananchiWaziri wa Fedha na Mipango Dkt. Mwigulu Nchemba amesema wananchi wasiwaze kuhusu gharama za miamala ya simu kwa kuwa mzunguko wa fedha utaongezeka
Akiongea katika kipindi cha Aridhio, TBC amesema gharama za miamala hazina maana kwa kuwa watakuwa wanapata fedha zaidi katika kipindi hichi
Amesema serikali imejipanga kulipa madeni ili wananchi wawe na fedha
Kwani hapo kabla awamu zilizopita pesa walikuwa wanapata kutoka wapi?Ila watanzania pia tujaribu kushauri ..je ingefanyika kitu gani ili serikali ipate fedha za kugharimia vitu kama barabara za lami vijijini..shuke zilizobireka vijijin..na kutoa ahira za walimu na watu wa afya..Naomba tutoe mawazo
Sick mind......as usual.....wajanja wameshachukua hatua long time...atabaki na mafala tu.Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Mwigulu Nchemba amesema wananchi wasiwaze kuhusu gharama za miamala ya simu kwa kuwa mzunguko wa fedha utaongezeka
Akiongea katika kipindi cha Aridhio, TBC amesema gharama za miamala hazina maana kwa kuwa watakuwa wanapata fedha zaidi katika kipindi hichi
Amesema serikali imejipanga kulipa madeni ili wananchi wawe na fedha
Duh naona hauelewiMiaka yote kodi imeongezwa kwenye hizo luxuries. Kumbuka hizo luxuries zina watu wengi tu wanaoishi kwa kuzitegemea, na kwao kilio ni kama hiki cha kwako.
Ni kukubaliana na uhalisia wa dunia ya sasa, wigo wa pesa za nje zenye kuwezesha bajeti zetu kuweza kuendeshwa, unakwenda ukipungua.