Mwigulu: Wananchi wanaenda kupata fedha nyingi, watazoea makato

Mwigulu: Wananchi wanaenda kupata fedha nyingi, watazoea makato

Yeye kwa sababu anamiliki kampuni za mabus kwa siku uhakika wa kupata upo hivyo ufikiri KILA mtza anamiliki mabus pesa sio tatizo.
Hii tozo ya mshikamano naona ikienda kuagiza mabasi mapya ya mchumi daraja la kwanza........wale wenye connection andaeni sandarusi siku ya mgao itakapofika.
 
Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Mwigulu Nchemba amesema wananchi wasiwaze kuhusu gharama za miamala ya simu kwa kuwa mzunguko wa fedha utaongezeka

Akiongea katika kipindi cha Aridhio, TBC amesema gharama za miamala hazina maana kwa kuwa watakuwa wanapata fedha zaidi katika kipindi hichi

Amesema serikali imejipanga kulipa madeni ili wananchi wawe na fedha
Tz viongozi wengi wa umma walipata unyafuzi ktk makuzi yao
 
Kama watumishi wa Umma wataongezewa asilimia mia za mshahara ni sawa kabisa wasemacho!mzunguko utakuwa mkubwa sana!!!
 
Watukamue zaidi ili mafuta ya VX zao yasikosekane.
 
Wangeziachia hizo hela nyingi kwanza wanazosema zitapatikana ndio walete hizo tozo na makato yao siyo wanatudunga sindano halafu wanatufariji kirahisi namna hiyo
 
Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Mwigulu Nchemba amesema wananchi wasiwaze kuhusu gharama za miamala ya simu kwa kuwa mzunguko wa fedha utaongezeka

Akiongea katika kipindi cha Aridhio, TBC amesema gharama za miamala hazina maana kwa kuwa watakuwa wanapata fedha zaidi katika kipindi hichi

Amesema serikali imejipanga kulipa madeni ili wananchi wawe na fedha
Mwigulu ana upungufu kichwani+roho mbaya
 
Hawa watu wamelewa madaraka na wamebaki kukebehi watu. Wanaona kila mtu asiyekuwa kiongozi ni mjinga na unaweza kumdanganya kadiri unavyotaka. Kwa nini wasisubiri kwanza wananchi wapate hizo fedha ili waanze makato? Upole na woga wa watanzania umefanya viongozi wafanye wanavyotaka!
Mkuu sisi watanzani ni wapumbavu+,siyo wapole
 
Ila watanzania pia tujaribu kushauri ..je ingefanyika kitu gani ili serikali ipate fedha za kugharimia vitu kama barabara za lami vijijini..shuke zilizobireka vijijin..na kutoa ahira za walimu na watu wa afya..Naomba tutoe mawazo
Mnafikiri kwa kutumia nini mkuu?
 
Ila watanzania pia tujaribu kushauri ..je ingefanyika kitu gani ili serikali ipate fedha za kugharimia vitu kama barabara za lami vijijini..shuke zilizobireka vijijin..na kutoa ahira za walimu na watu wa afya..Naomba tutoe mawazo
Tungeanza na kujadili kwanza kama tunaridhika na matumizi ya pesa zilizopo kwanza, na kama haturidhiki, basi wapi tupunguze matumizi yasiyo na ulazima, hatuwezi lalamika kuwa hatuna pesa ya kutosha, na tukawa na matumizi yanayoongezeka kila siku? Nadhani tuanzie hapo.
 
Kuna mambo uanafikirisha sana.

Yaani unajikuta unajiuliza: "Hivi hawa wanasiasa wetu wanatuonaje?"
 
Back
Top Bottom