Hii tozo ya mshikamano naona ikienda kuagiza mabasi mapya ya mchumi daraja la kwanza........wale wenye connection andaeni sandarusi siku ya mgao itakapofika.Yeye kwa sababu anamiliki kampuni za mabus kwa siku uhakika wa kupata upo hivyo ufikiri KILA mtza anamiliki mabus pesa sio tatizo.