Mwigulu: Watanzania msikimbie nchi tutarekebisha makosa

Mwigulu: Watanzania msikimbie nchi tutarekebisha makosa

Kwanini mwingulu nchemba amekaa kwenye nyasifa kubwa hivyo. Na huku hana compitioni" na nyasifa???
 
Hili jamaa lishaanza kampeni za Urais 2025 lipo na Mzee wa majipu kichwani, tunajua.
 
Too late tulishakata tiketi ya kwenda Bujumbura🤣🤸‍♂️🐒
SmartSelect_20210725-194227_Chrome.jpg
 
Mchumi mwenye phd ya makaratasi, mzee wa uchumi wa projection[emoji91][emoji91][emoji91]
 
Back
Top Bottom