Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Mkuu mbona hatuarifiani kama huyu Mrembo ni mali zako? 😜
Khaaa kiongozi nimekuingilia nini? Samahani bana😂😂😂🙆
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu mbona hatuarifiani kama huyu Mrembo ni mali zako? 😜
Mkuu niko hapa Bwiza unipitieNipo Rumonge bado kilomita 30nifike Bujumbura
Khaaa kiongozi nimekuingilia nini? Samahani bana😂😂😂🙆
Mshenzi mkubwa wewe, mm na kundi langu tayari tupo Burundi lkn tutakaporudi hatutorudi kama tulivyoondoka bali tutarudi kivingine“Wewe Mtanzania usiikimbie nchi yako, tutarekebisha matatizo, lakini kama umepata fursa ya kuwekeza huko, wekeza!
Laniki usiikimbie nchi yako kwa sababu ya matatizo”.Waziri Nchemba
Pia soma > Mwigulu Nchemba awaambia Watanzania wahamie Burundi wasipoweza kulipa tozo za miamala
Source : Radio 1
Huyu mtu hatufai!“Wewe Mtanzania usiikimbie nchi yako, tutarekebisha matatizo, lakini kama umepata fursa ya kuwekeza huko, wekeza!
Laniki usiikimbie nchi yako kwa sababu ya matatizo”.Waziri Nchemba
Pia soma > Mwigulu Nchemba awaambia Watanzania wahamie Burundi wasipoweza kulipa tozo za miamala
Source : Radio 1
Kiumbe wa mungu anatakiwa anywe alta wine ile pombe ya mizabibu ,mbowe yeye anakunywa konyagi ngumu kumeza.Unatumiwa na shetani. Mungu hawezi kuwa na furaha kiumbe wake anapoteswa kwa kusingiziwa. Hiyo yako ni ya kishetani. Jiulize mara mbili sababu ya furaha yako hiyo.
Ametoa kauli ya KiuRais - yaani badala ya kusema WanaIramba wasiikimbie Iramba yeye anawaambia waTanzania wasikimbie nchi. Huyu bwana anautaka URais huyu! acha kabisa!“Wewe Mtanzania usiikimbie nchi yako, tutarekebisha matatizo, lakini kama umepata fursa ya kuwekeza huko, wekeza!
Laniki usiikimbie nchi yako kwa sababu ya matatizo”.Waziri Nchemba
Pia soma > Mwigulu Nchemba awaambia Watanzania wahamie Burundi wasipoweza kulipa tozo za miamala
Source : Radio 1
Hapa Bujumbura tunasubiri suluhu ya nauli.Heee!!! Kasimu atawatumia nauli...
Khaaaa,na ndio rahisi ajaye 2025!Mwigulu ni mavi
Na ile ya kwenda Burundi au kabadili usemi?“Wewe Mtanzania usiikimbie nchi yako, tutarekebisha matatizo, lakini kama umepata fursa ya kuwekeza huko, wekeza!
Lakini usiikimbie nchi yako kwa sababu ya matatizo”. Waziri Nchemba
Pia soma > Mwigulu Nchemba awaambia Watanzania wahamie Burundi wasipoweza kulipa tozo za miamala
Source : Radio 1
Ndio maaana nnasema Baadhi ya Proccm hamna akili. Sasa hapa Mbowe anaingiaje?? JF haikua hivi, huu ni uendawazimu na kuharibu mijadala
Anautamani sana urais huyu.“Wewe Mtanzania usiikimbie nchi yako, tutarekebisha matatizo, lakini kama umepata fursa ya kuwekeza huko, wekeza!
Lakini usiikimbie nchi yako kwa sababu ya matatizo”. Waziri Nchemba
Pia soma > Mwigulu Nchemba awaambia Watanzania wahamie Burundi wasipoweza kulipa tozo za miamala
Source : Radio 1
“Wewe Mtanzania usiikimbie nchi yako, tutarekebisha matatizo, lakini kama umepata fursa ya kuwekeza huko, wekeza!
Lakini usiikimbie nchi yako kwa sababu ya matatizo”. Waziri Nchemba
Pia soma > Mwigulu Nchemba awaambia Watanzania wahamie Burundi wasipoweza kulipa tozo za miamala
Source : Radio 1
Kiumbe wa mungu anatakiwa anywe alta wine ile pombe ya mizabibu ,mbowe yeye anakunywa konyagi ngumu kumeza.