Mwijaku aandikiwa hati ya Madai ya Tsh. Milioni 300 kwa kumdhalilisha Maua Sama

Mwijaku aandikiwa hati ya Madai ya Tsh. Milioni 300 kwa kumdhalilisha Maua Sama

BARD AI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
3,591
Reaction score
8,826
Screenshot_2024-03-12-17-39-11-912_com.instagram.android-edit.jpg
Screenshot_2024-03-12-17-39-26-923_com.instagram.android-edit.jpg
Screenshot_2024-03-12-17-39-41-166_com.instagram.android-edit.jpg
Baada ya Mwemba Burton maarufu @mwijaku kusema na kuandika maneno ya udhalilishaji kwa msanii @mauasama hivi karibuni amejikuta akikalia kuti kavu baada ya Maua Sama kupitia Wakili wake, Claudio Msando kutoka kampuni ya Mawakili na Wanasheria ya Msando Law Office iliyopo Jijini Dar es Salaam – Tanzania, kumuandikia Mwijaku hati ya madai na kumpa Masaa 24 ya kujibu tuhuma hizo za udhalilishaji ikiwa ni pamoja na fidia ya Fedha za Kitanzania TZS Milioni 300.

Endapo atashindwa kufanya hivyo, basi atapelekwa Mahakamani na hatua nyingine za Kisheria zitafuata
 
Baada ya Mwemba Burton maarufu @mwijaku kusema na kuandika maneno ya udhalilishaji kwa msanii @mauasama hivi karibuni amejikuta akikalia kuti kavu baada ya Maua Sama kupitia Wakili wake, Claudio Msando kutoka kampuni ya Mawakili na Wanasheria ya Msando Law Office iliyopo Jijini Dar es Salaam – Tanzania, kumuandikia Mwijaku hati ya madai na kumpa Masaa 24 ya kujibu tuhuma hizo za udhalilishaji ikiwa ni pamoja na fidia ya Fedha za Kitanzania TZS Milioni 300.

Endapo atashindwa kufanya hivyo, basi atapelekwa Mahakamani na hatua nyingine za Kisheria zitafuata
Hatutaona mwendelezo wa kesi watamalizana.
 
Baada ya Mwemba Burton maarufu @mwijaku kusema na kuandika maneno ya udhalilishaji kwa msanii @mauasama hivi karibuni amejikuta akikalia kuti kavu baada ya Maua Sama kupitia Wakili wake, Claudio Msando kutoka kampuni ya Mawakili na Wanasheria ya Msando Law Office iliyopo Jijini Dar es Salaam – Tanzania, kumuandikia Mwijaku hati ya madai na kumpa Masaa 24 ya kujibu tuhuma hizo za udhalilishaji ikiwa ni pamoja na fidia ya Fedha za Kitanzania TZS Milioni 300.

Endapo atashindwa kufanya hivyo, basi atapelekwa Mahakamani na hatua nyingine za Kisheria zitafuata
Atalipiwa na Chama kubwa

Amelelewa na hiko chama kufikia level hiyo ya hekima
 
Afadhali hakuna kitu kiliniuma kama alivyotukana mwalimu wake wa Commerce akishuka kwenye ndege kigoma

Chama cha walimu wakanyamaza kimya iliniuma walitakiwa kumburuza mahakamani

Mungu mwema walau hii kesi Mungu kamlipia huyo mwalimu wa Commerce aliyedhalilishwa na Mwijaku

Wakili komaa hasa
 
Back
Top Bottom