Mwijaku aandikiwa hati ya Madai ya Tsh. Milioni 300 kwa kumdhalilisha Maua Sama

Mwijaku aandikiwa hati ya Madai ya Tsh. Milioni 300 kwa kumdhalilisha Maua Sama

Afadhali hakuna kitu kiliniuma kama alivyotukana mwalimu wake wa Commerce akishuka kwenye ndege kigoma

Chama cha walimu wakanyamaza kimya iliniuma walitakiwa kumburuza mahakamani

Mungu mwema walau hii kesi Mungu kamlipia huyo mwalimu wa Commerce aliyedhalilishwa na Mwijaku

Wakili komaa hasa
Ilikuwaje mkuu?
 
mimi kama dalali wa mahakama nasubiri amri ya kukamata toyota crown na nyumba nawasilisha.
mliofungua kesi tafadhali kueni makini yule chawa anaweza badilisha jina la hati ya nyumba kabla kesi haijaisha mimi nikose kazi ya kupiga mnada faida itakua ndogo sana kama nitafanya mnada wa toyota crown nawasilisha dalali wa mahakama ya kati.
 
Back
Top Bottom