Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chanzo cha ugomvi ni Nini huyo mwijaku alitoa kauli gani kwa maua mpaka kufikia huko kutaka kupelekana mahakamaniTatizo aliona kuwa kumsema mkristo sawa kwa udini wake.mbona hawa semi waislamu wenzake.
Udini umemponza
Hili nalo neno. Kwani huyu Maua ni nani mkuu?Chawa anashtakiwa na Law Chamber ya Msando?
Hakuna kitu hapo zaidi ya maigizo.
Hii ukute wametengeza Both for sake of Kiki.
Sifatilii vitu vidogo vidogo namna hii. Wala simjuiHili nalo neno. Kwani huyu Maua ni nani mkuu?
Ilikuwaje mkuu?Afadhali hakuna kitu kiliniuma kama alivyotukana mwalimu wake wa Commerce akishuka kwenye ndege kigoma
Chama cha walimu wakanyamaza kimya iliniuma walitakiwa kumburuza mahakamani
Mungu mwema walau hii kesi Mungu kamlipia huyo mwalimu wa Commerce aliyedhalilishwa na Mwijaku
Wakili komaa hasa
Hakuna kesi hapo.Alisema hadharani huyo dada eti ni malaya ,hii ni baada ya Maua sama kusema anampenda Ali kiba alipohojiwa.
Mwijaku akasema Ali kiba hawezi kuwa na Maua sama kwa vile Maua sama ni " Malaya"..Tena hapo anahojiwa anaongea tu kama mshamba fulani
nimekuelewa mkuu.Atalipiwa na Chama kubwa
Amelelewa na hiko chama kufikia level hiyo ya hekima
mliofungua kesi tafadhali kueni makini yule chawa anaweza badilisha jina la hati ya nyumba kabla kesi haijaisha mimi nikose kazi ya kupiga mnada faida itakua ndogo sana kama nitafanya mnada wa toyota crown nawasilisha dalali wa mahakama ya kati.mimi kama dalali wa mahakama nasubiri amri ya kukamata toyota crown na nyumba nawasilisha.