Mwijaku afikishwa Kisutu na kushtakiwa kusambaza picha za utupu. Ashindwa kutimiza masharti ya dhamana

Mwijaku afikishwa Kisutu na kushtakiwa kusambaza picha za utupu. Ashindwa kutimiza masharti ya dhamana

Hili la wadhamini limekaaje? Tz mbona ina mambo ya ajabu? Sipati taswira ya hakimu anayetaka sharti la ajabu kiasi hiki!. Kwa nini asingeoewa nafasi ya angalau mwajiri wake awe mmoja wa wadhamini?
Unamaanisha Mr Joe Kusaga?Mwajiri wake kuwa mdhamini wahiyo kesi ni kujishushia heshima na kudharaulika.

Avune alichokipanda
 

Mwijaku ambaye ni miongoni mwa watia nia waliojitokeza kuomba ubunge kwa tiketi ya CCM, amefikishwa kwenye Mahakama ya Hakimu Mkaazi Kisutu kwa kusambaza picha za utupu kwenye mtandao wa Whatsapp.

Inadaiwa alitenda kosa hilo kati ya Septemba 15 na Oktoba 10 mwaka 2019 .

------
Aliyekuwa mtia nia wa Ubunge Jimbo la Kawe na Mtangazaji wa Clouds, Mwemba Brighton maarufu Mwijaku (35) amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na mashitaka ya kusambaza picha za utupu.

Mwijaku alisomewa mashtaka hayo leo mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Richard Kabate.

Mwijaku ambaye alikana mashitaka hayo, amekosa dhamana baada ya kushindwa kutimiza masharti ambayo ni kuwa na wadhamini wawili kutoka ama Bongo Movie au tasnia ya muziki wenye barua zilizothibitishwa na Baraza la Sanaa Tanzania (BASATA) na kusaini kila mmoja Sh 500,000.
mwijaku anakosa nhadi wadhamini na mtandaoni anapiga sana kelele utadhani istagram yake...wamtafutie kipindi cha ushambenga kitamfaa
 
kudhalilisha wanawake na kutufanya wanaume wenzio kama na sisi hatusimamishi wakati kuna uwezekano huyo mwijaku ana kibamia na wengine akina sie tuna magogo ya mti..afungwe jela miezi 12 sio mbaya sana itasaidia kurekebsha taarifa kwenye jamii
 
IMG_20200730_102840.jpg
 
Ina maana hata wale anaotangaza nao hawakuwepo kumdhamini?.
 
Hao Klauz nao hawatumii hata akili, Mtu ana kesi ya udhalilishaji bado wanampa kipindi atangazie Jamii.
 
Back
Top Bottom