Mwijaku afikishwa Kisutu na kushtakiwa kusambaza picha za utupu. Ashindwa kutimiza masharti ya dhamana

Mwijaku afikishwa Kisutu na kushtakiwa kusambaza picha za utupu. Ashindwa kutimiza masharti ya dhamana


Mwijaku ambaye ni miongoni mwa watia nia waliojitokeza kuomba ubunge kwa tiketi ya CCM, amefikishwa kwenye Mahakama ya Hakimu Mkaazi Kisutu kwa kusambaza picha za utupu kwenye mtandao wa Whatsapp.

Inadaiwa alitenda kosa hilo kati ya Septemba 15 na Oktoba 10 mwaka 2019 .

------
Aliyekuwa mtia nia wa Ubunge Jimbo la Kawe na Mtangazaji wa Clouds, Mwemba Brighton maarufu Mwijaku (35) amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na mashitaka ya kusambaza picha za utupu.

Mwijaku alisomewa mashtaka hayo leo mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Richard Kabate.

Mwijaku ambaye alikana mashitaka hayo, amekosa dhamana baada ya kushindwa kutimiza masharti ambayo ni kuwa na wadhamini wawili kutoka ama Bongo Movie au tasnia ya muziki wenye barua zilizothibitishwa na Baraza la Sanaa Tanzania (BASATA) na kusaini kila mmoja Sh 500,000.
Hao ndio makada kindakindaki... ninachojiuliza hivi wale wasanii wooote makada hawana mahusiano mema ya kidugu na Mwijaku?
Au ndio ule usemi unatimia "...HAWAACHIANI GLASI MEZANI!" unatimia...
 
Hii kesi kufufuliwa upya kuna jambo nyuma ya pazia
Kesi haijafunguliwa upya bali ilikuwepo na ilikuwa inaendelea.
.
Kukutwa na kesi ya kujibu si kwamba umekutwa na hatia.
.
Bali Hakimu ameona kwamba kulikuwa na sababu za kuonesha kwamba sheria ilivunjwa.
.
Sio GUILD VERDICT.Guilt verdict inafikiwa baada ya utetezi kuleta HOJA zao pamoja mashahidi wao ili kuthibitisha innocense yao.
.
Sasa Katika hatua hii DPP anaweza kuleta ombi la kutokutaka kuendelea na kesi

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Hii kesi kufufuliwa upya kuna jambo nyuma ya pazia
Menina alimstaki mwijaku muda kidogo baada ya uvujwaji wa ile video ila kutokana na kesi nyinyi za Tanzania especially zinazohusisha ushahidi zinachukuwa muda mrefu ndio maana umeona hukumu ndio imetoka leo
 
Kwahiyo anaweza kwenda jela? Miaka mingapi hivi?
 
Back
Top Bottom