Mwijaku ajenga nyumba ya kitajiri Kigamboni - funzo kwa vijana, dunia haina huruma kwa mwenye aibu,wenye kuwaza ndugu watanionaje

Mwijaku ajenga nyumba ya kitajiri Kigamboni - funzo kwa vijana, dunia haina huruma kwa mwenye aibu,wenye kuwaza ndugu watanionaje

Upo serious na maisha na hakuna mahali umefika[emoji28] sasa inakusaidia nini? Leo ukipata ugonjwa mkubwa huna chochote cha thamani cha kuweka bond walau upate mkopo kwaajili ya matibabu na mambo mengine. Umasikini sio sifa. Ujinga pia sio sifa vilevile. Mwijaku anastahili pongezi. Hakuna ujinga alioufanya. Analipa kodi na anachangia kwenye maendeleo ya taifa jambo ambalo sidhani kama wewe unafanya
Mzee nikipata ugonjwa na sina kitu kwani option ni hiyo moja tu ya kujifyatua na kuramba wanaume miguu.

Umaskini sio sifa mzee kama wewe unaona ni sawa na wewe fanya ujenge mjengo kama yeye.

Na pongezi mbona nimempa mkuu, hongera zake once again ila kufanya hicho afanyacho ndo siwezi.
 
Habari wadau,

Mwijaku chawa na influencer maarufu amejenga nyumba ya ghorofa kigamboni

Mwijaku anafanya kazi amazo wengi tunaona ni za aibu ila ana maisha mazuri ambayo wasomi wengi wa zama zake hawana hata nusu yake.

Mwijaku ni graduate wa university of Dar es salaam (Udsm) class of 2013 - yaani kamaliza chuo miaka kumi iliyopita

Ujumbe wangu wewe Graduates unaeona aibu kufaanya kazi yoyote itakula kwako wewe na kizazi chako

View attachment 2862148

Jiulize ni wangapi aliomaliza nao chuo ambao wanamzidi Mwijaku maisha ?


MWIJAKU SIO MVIVU ANAFANYA KAZI NYINGI SANA NDANI YA MUDA MMOJA. KOTE ANAPOKEA HELA

1. Anafanya kazi media Anatangaza clouds

2. Anafanya kazi media nyingine Star times anatangaza kipindi cha Mr right

3. Anafanya ya kuigiza. Anaigiza kwenye tamthilia ya DSTV kama main character

4. Anafanya kazi ya ubalozi wa kampuni ya Silent ocean

5. Anafanya kazi na serikali kama influencer wa awamu ya 6 ya Mama Samia.

6. Anapiga dili za wafanyabiashara wengine kibao. Anatangaza bidhaa za biashara za watu wengine wengi mfano Hamidu City, kampuni ya rangi na wengineo kibao

Mtu kama huyu anashindwaje kujenga nyumba ya milioni 400
FUNZO KWA MACHAWA WA LUMUMBA BUKU 7 HAITAWATOA NA ROHO MBAYA YA KUTUKANA WATU WATAISHI MAISHA YA KUPANGA MILELE

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
 
Chumvi muhimu kwenye mboga. Wajenzi wanaikadiria thamani yake ni milioni 300
Dah yani nimefurahi baada ya kujua thamani yake ni 300m nitalala unono usiku huu. Yani mwijaku awe na nyumba ya 1.3 billion? Nilitaka kujiua asee. Kama ni million 300 imesaidia tusimeze sumu.
 
Kwahiyo na wewe uko tayari kupanuliwa na Waarabu upate ghorofa?

Kizazi hiki ni hasara tupu, mbele ya watu weñye akili timamu unamleta Mwijaku ndio awe role model? Kweli?

Iombe radhi JF na members wake hii ni dharau kupita kiasi.
Daktari... hapa unafeli mzee mwenzangu. The end will justify the means. Angekuwa kibaka tungemsema pia. Hizi tabia za kuchagua kazi kwa sababu ya usomi ndo zinatufanya masikini zaidi. Mwijaku has done well. Very well. Ndo maana wewe na mimi tunamfuatilia na kukocomment kwenye thread inayomhusu.
 
Mchawi masikini...
Huwa ana data zote za tajiri.....
 
Kwahiyo na wewe uko tayari kupanuliwa na Waarabu upate ghorofa?

Kizazi hiki ni hasara tupu, mbele ya watu weñye akili timamu unamleta Mwijaku ndio awe role model? Kweli?

Iombe radhi JF na members wake hii ni dharau kupita kiasi.
🙄🙄🙄
 
Fight for what makes you; you. Hizo ndio ndoto za kwenye maisha; sio nani kafanya nini au ka-achieve nini. Ukienda huko utaumia roho na utakuwa na wivu na watu.

Happiness inaweza kuwa na shamba la heka tano (kama ni goals ulizo set mwenyewe), ufanye kilimo cha biashara, ujenge nyumba ya kawaida na uweze hudumia familia yako katika mahitaji muhimu.

Ushauri niliowahi usikia na kuupokea kwenye maisha ni kutoka kwa ‘Steven Gerrard’ tena akiwa bwana mdogo kwenye carrer yake (in his early 20’s).

Haya ndio yalikuwa maneno yake kuhusu kupokea mshahara mkubwa kwa sababu ya mpira alipoulizwa kuhusu hela; “napenda kucheza mpira kushinda hela, na ndoto zangu za mpira ilikuwa kucheza premiership huku nikielewa ugumu wa kufika huko kwa sababu kupitia academy nimeona ndoto za watu wengi kama zangu zikikatishwa. Namshukuri mungu nimefanikisha na kazi yenyewe inanilipa mshahara mkubwa sana. Lakini hizi ndoto zingekwama mimi ni mtu ambae hata huko baadae ningekuwa nimeajiriwa kwenye admin work bado ningekuwa nacheza Sunday league football kwenye timu za mtaani kwa sababu naupenda mpira

Mwijaku au Babalevo awawezi kuwa role model ya jamii kwa sababu ya mafanikio yako; unapenda nini kufanya na definition yako ya mafanikio ni nini. Usifuate standards za wengine kama kigezo chako (what makes you happy in life).
 
Huwa nashangaa watu wanasema SANAA INALIPA BONGO. Nani humu JF analipia kazi yoyote ya msanii wa BONGO. Muziki mnasikiliza bure YouTube, na Movie zao ndio mnasema hazina viwango. Sasa Hawa wasanii pesa wao wanazitoa wapi?
Ni kazi ipi ya Mwijaku inamlipa zaidi,Matangazo ya biashara, Kutangaza Utalii? Kuimba, Movie, Au Utangazaji redioni?
 
Hongera sana Mwijaku,naona masikini wana comment kwa hasira kama zote,

Ingekua zamani basi Mwijaku angeitwa Freemason ila sasa hivi kila mwenye mafanikio anaambiwa ni shoga!

Chuki za kipumbavu haziwezi kuumaliza umasikini wako,unamtuhumu mtu bila ushahidi wowote! Aliyefanikiwa apongezwe na wewe chuki zako ndio umasikini wako,chuki haiwezi kukupeleka popote zaidi ya kukuletea vidonda vya tumbo.
Tusome tu kwa taratibu.
Ukitaka ushahidi itakuwa ngumu.
1. Ushahidi wa document za nyumba
2. Ushahidi wa kutoa trako
Sasa kila mmoja akileta patakalika hapa?.

Mwisho wa siku tuishie tu " yasemwayo yapo. Amejenga sawa Hongera zake. Anatoa trako . Sawa Hongera zake pia.


Naishia hapo
 
Back
Top Bottom