Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Mzee nikipata ugonjwa na sina kitu kwani option ni hiyo moja tu ya kujifyatua na kuramba wanaume miguu.Upo serious na maisha na hakuna mahali umefika[emoji28] sasa inakusaidia nini? Leo ukipata ugonjwa mkubwa huna chochote cha thamani cha kuweka bond walau upate mkopo kwaajili ya matibabu na mambo mengine. Umasikini sio sifa. Ujinga pia sio sifa vilevile. Mwijaku anastahili pongezi. Hakuna ujinga alioufanya. Analipa kodi na anachangia kwenye maendeleo ya taifa jambo ambalo sidhani kama wewe unafanya
Umaskini sio sifa mzee kama wewe unaona ni sawa na wewe fanya ujenge mjengo kama yeye.
Na pongezi mbona nimempa mkuu, hongera zake once again ila kufanya hicho afanyacho ndo siwezi.