Mwijaku ajenga nyumba ya kitajiri Kigamboni - funzo kwa vijana, dunia haina huruma kwa mwenye aibu,wenye kuwaza ndugu watanionaje

Mwijaku ajenga nyumba ya kitajiri Kigamboni - funzo kwa vijana, dunia haina huruma kwa mwenye aibu,wenye kuwaza ndugu watanionaje

Habari wadau,

Mwijaku chawa na influencer maarufu amejenga nyumba ya ghorofa kigamboni

Mwijaku anafanya kazi amazo wengi tunaona ni za aibu ila ana maisha mazuri ambayo wasomi wengi wa zama zake hawana hata nusu yake.

Mwijaku ni graduate wa university of Dar es salaam (Udsm) class of 2013 - yaani kamaliza chuo miaka kumi iliyopita

Ujumbe wangu wewe Graduates unaeona aibu kufaanya kazi yoyote itakula kwako wewe na kizazi chako

View attachment 2862148

Jiulize ni wangapi aliomaliza nao chuo ambao wanamzidi Mwijaku maisha ?


MWIJAKU SIO MVIVU ANAFANYA KAZI NYINGI SANA NDANI YA MUDA MMOJA. KOTE ANAPOKEA HELA

1. Anafanya kazi media Anatangaza clouds

2. Anafanya kazi media nyingine Star times anatangaza kipindi cha Mr right

3. Anafanya ya kuigiza. Anaigiza kwenye tamthilia ya DSTV kama main character

4. Anafanya kazi ya ubalozi wa kampuni ya Silent ocean

5. Anafanya kazi na serikali kama influencer wa awamu ya 6 ya Mama Samia.

6. Anapiga dili za wafanyabiashara wengine kibao. Anatangaza bidhaa za biashara za watu wengine wengi mfano Hamidu City, kampuni ya rangi na wengineo kibao

Mtu kama huyu anashindwaje kujenga nyumba ya milioni 400
SAWA Mwija tumekuelewa
 
Daktari... hapa unafeli mzee mwenzangu. The end will justify the means. Angekuwa kibaka tungemsema pia. Hizi tabia za kuchagua kazi kwa sababu ya usomi ndo zinatufanya masikini zaidi. Mwijaku has done well. Very well. Ndo maana wewe na mimi tunamfuatilia na kukocomment kwenye thread inayomhusu.
JF hata ukileta thread ya kichaa Kejeri kama uliwahi kumjuwa tutamjadili pia.

Vibaka tunawajadili pia, majizi ya CCM tunayadiri, sasa Kwa nini na walioleft group wasijadiliwe?

Wakulaumiwa ni hao wanaoleta mada zao humu kutafuta attention, haya mambo yao wawe wanamaliza huko Instagram.
 
JF hata ukileta thread ya kichaa Kejeri kama uliwahi kumjuwa tutamjadili pia.

Vibaka tunawajadili pia, majizi ya CCM tunayadiri, sasa Kwa nini na walioleft group wasijadiliwe?

Wakulaumiwa ni hao wanaoleta mada zao humu kutafuta attention, haya mambo yao wawe wanamaliza huko Instagram.
Hawa unatamani tuwachape viboko

Ova
 
Na wewe ungetupa unayoyafanya Kwa uchache Kwa kiwango chako ili uwa-motivate vijana hata kama umepata ela sio nyingi kama Mwijaku badala ya kutoa ushauri Kwa njia ya kuwapa makavu live vijana
 
Ipo mtandaoni
Acha kuchafua watu.

Kama mwijaku amejenga sababu ya vdeo yake na mwandada menina na wewe fanya tuone kama utajenga.

Acheni wivu, huna utakachobadilisha kama kweli amejenga chuki zako hazitatoa hata tofali katika hio nyumba.

Pambana
 
Tusome tu kwa taratibu.
Ukitaka ushahidi itakuwa ngumu.
1. Ushahidi wa document za nyumba
2. Ushahidi wa kutoa trako
Sasa kila mmoja akileta patakalika hapa?.

Mwisho wa siku tuishie tu " yasemwayo yapo. Amejenga sawa Hongera zake. Anatoa trako . Sawa Hongera zake pia.


Naishia hapo
Kwanini unateseka kwa maisha ya mtu mwingine? Kila aliyefanikiwa mnamzushia sijui anatoa trako,siku hizi hamumsemi mtu tena kua anauza ngada au ni Freemason? Mmebadili upepo wazee wa kukaririshwa?
 
Acha kuchafua watu.

Kama mwijaku amejenga sababu ya vdeo yake na mwandada menina na wewe fanya tuone kama utajenga.

Acheni wivu, huna utakachobadilisha kama kweli amejenga chuki zako hazitatoa hata tofali katika hio nyumba.

Pambana
Sawa mkuu ndugu yangu
 
Kwanini unateseka kwa maisha ya mtu mwingine? Kila aliyefanikiwa mnamzushia sijui anatoa trako,siku hizi hamumsemi mtu tena kua anauza ngada au ni Freemason? Mmebadili upepo wazee wa kukaririshwa?
Wewe una ushahidi upi? Wa trako au document za nyumba?. Soma comment pita kule kila mtu na maisha yake
 
Habari wadau,

Mwijaku chawa na influencer maarufu amejenga nyumba ya ghorofa kigamboni

Mwijaku anafanya kazi amazo wengi tunaona ni za aibu ila ana maisha mazuri ambayo wasomi wengi wa zama zake hawana hata nusu yake.

Mwijaku ni graduate wa university of Dar es salaam (Udsm) class of 2013 - yaani kamaliza chuo miaka kumi iliyopita

Ujumbe wangu wewe Graduates unaeona aibu kufaanya kazi yoyote itakula kwako wewe na kizazi chako

View attachment 2862148

Jiulize ni wangapi aliomaliza nao chuo ambao wanamzidi Mwijaku maisha ?


MWIJAKU SIO MVIVU ANAFANYA KAZI NYINGI SANA NDANI YA MUDA MMOJA. KOTE ANAPOKEA HELA

1. Anafanya kazi media Anatangaza clouds

2. Anafanya kazi media nyingine Star times anatangaza kipindi cha Mr right

3. Anafanya ya kuigiza. Anaigiza kwenye tamthilia ya DSTV kama main character

4. Anafanya kazi ya ubalozi wa kampuni ya Silent ocean

5. Anafanya kazi na serikali kama influencer wa awamu ya 6 ya Mama Samia.

6. Anapiga dili za wafanyabiashara wengine kibao. Anatangaza bidhaa za biashara za watu wengine wengi mfano Hamidu City, kampuni ya rangi na wengineo kibao

Mtu kama huyu anashindwaje kujenga nyumba ya milioni 400
Utaka wote wafanya kazi hiyo?
 
Back
Top Bottom