Mwijaku alishindwa nini kununua kiwanja kinachoendana na mipango yake ya ujenzi? Kampuni ya ujenzi ilishindwa kumshauri?

Kwa Tanzania haswa mjini mjini, wengi nyumba zipo namna hiyo kwa sababu nyumba ikiwa na eneo kubwa lazma utaijua kwa ukubwa wa uzio wake kwa hiyo alichokifanya mwijaku sio kipya ila pia mtoa mada una point kiasi.

All in all Mwijaku apongezwe kwa kujitahidi maana ni watu maarufu wachache wanaweza kumiliki nyumba ya namna hiyo
 

Mkuu kuna watu wachache sana wanajua endorsements kwa hawa watu maarufu huwa zinafikia bei gani ndio maana tunaona ni issue ngumu sana kwa wao kutimiza 1 B..

Ila nikuhakikishie tu, kwa balozi anazozipata mwijaku wakati hana maisha ya ku_fake au starehe sana ambacho ni chanzo cha umaskini wa wasanii wengi. Hiyo pesa anafikisha
 
Ipo

Ya Mwijaku ni 1.2 Bilioni na imejengwa kwa miezi kumi tu.....

Mwijaku ni mtu wa utani. Ile nyumba sio ya bilioni. Kaangalie nyumba ya Marehemu Mchungaji Rwakatare ambayo aliijenga kwa Bilioni 1 halafu linganisha na nyumba ya Mwijaku.

Kuna vitu anasema tu kunogesha kipindi. Kwamfano;

Swimming pool ndogo tu ambayo ipo juu kasema ni milioni 38

Taa moja anasema ni Laki 8

Taa za nje Moja anasema ni laki 5

Banda la mbwa (la kawaida sana) anasema laki 7

Unaona kabisa anadanganya ila dhumuni ni kunogesha tu kipindi.
 
Hongera zake DC Mwijaku. Watu tuna maono tofauti. Personally naona 1 B ipo mbali. Lakini kwa wengi tuliojenga, ni wachache wanajenga wakiwa na cash bank. So inawezekana.

Gharama ya nyumba ni finishing na furnishing. Unaweza kuweka mlango wa million mbili na mimi nikaweka mlango wa laki mbili.

In all hongera sana kidume mwijaku! Nyumba ni heshima.
Ameiheshimisha kigamboni..ni his voice.
 
Kama yeye kaanza na wenzake watajiongeza.

Sent from my moto g 5G (2022) using JamiiForums mobile app
 
Unaweza ukawa upo sahihi ila kutokana na kupanda kwa vifaa vya Ujenzi nyumba zinatofautiana thamani kama walijenga vipindi tofauti Mkuu..
 
Watu hawabishi kuwa hana au hawezi kujenga nyumba ya bilioni,wanachobisha hio nyumba ya bilioni ndio hio? Labda huko ndani kuna vifaa vya high end.
 
Hujui kuna kitu kinaitwa kibali cha ujenzi au bado unaishi kwa shemeji?
Kwamujibu wa vibali vya ujenzi yuko sawa kabisa, ila hayuko sawa kwa matumizi binafsi ya ardhi hapo baadae.

MICHORO ILIYOANDALIWA IONYESHE NINI:

Michoro itakayoandaliwa inatakiwa ionyeshe mambo yafuatayo:-

  • Namna jengo litalavyokuwa ”sections elevation”, "foundation”, “roof plan”, “site plan”.
  • Ramani ya kiwanja (location plan)
  • Namba na eneo la kiwanja kilipo
  • Jina la mmilikaji ardhi inayohusika
  • Jina la mchoraji, ujuzi na anwani
  • Ukubwa wa kiwanja kwa mita za mita za mraba
  • Ukubwa wa jengo kwa mita za mraba
  • Ujazo wa kiwanja (plot coverage).
  • Uwiano (Plot ratio)
  • Urefu wa jengo kwenda juu (Height)
  • Matumizi yanayokusudiwa
  • Idadi ya maegesho yatayokuwepo
  • Umbali wa jengo kutoka kwenye mipaka ya kiwanja (setbacks) na
  • Mfumo wa kutoa maji taka hadi kwenye mashimo, au bomba la maji taka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…