Mwijaku alishindwa nini kununua kiwanja kinachoendana na mipango yake ya ujenzi? Kampuni ya ujenzi ilishindwa kumshauri?


Constructive idea, ongeza kikombe cha kahawa hapo ulipo [emoji1547]
 
Umemaliza. Well said! Tatizo kubwa wengi wetu ni financial illiteracy. Mpaka sasa kuja kuamka, woiii....
 
Aaahjh jenga yako yeye amemaliza achana na porojo
 
Bongo hakuna nyumba ya kuishi yenye thamani ya billio
inategemea uko wapi mfano ploti ikO Karibu na Daraja la Mbweni Ukubwa wa plot niQM 2500 bei ya qm 1650,000 Nyumba ya gorofa mbili
 
Hakuna benki yaweza riba ya 120m kwa mwaka kwa kuwekeza 1.2b, haipo kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…