Mwijaku alishindwa nini kununua kiwanja kinachoendana na mipango yake ya ujenzi? Kampuni ya ujenzi ilishindwa kumshauri?

Kwenye akaunti ya Instagram ya Msechu ameweka mwonekano wa nje wa nyumba yake.....kwamwambia Mwijaku akatafute watu wakufanya finishing ......lakini mchechu katika video yake unasikia ndege wakilia means amepanda miti kwake na anazo garden zakuvuta oxygen

Nyumba ya Mwijaku inakosa garden, inakosa uoto wa asili na haina privacy kwani imebanwa kwenye kiwanja kidogo
 
Webongo wengi ukiwashauri utasikia we unayo, mchawi, wivu nk. Hawawezi kupokea ushauri au challenge kama watu wazima. Bado wabongo wengi wana akili za kitoto. Namaanisha wabongo wengi wamekomaa miili ila akili zao wengi za kitoto.
Ni swali zuri sana. "We unayo?" Kama unayo na inafanana na ushauri unaotoa ni rahisi kuaccept challenge yako kama huna uwezekano kuwa una wivu ni mkubwa.
 
Watu 100 wanakuja kwako kufanya nn? Kucheza kigodoro au mdumange
Yaani hapo maswali mengi sana,watu 100+?
Kwangu wawili tu ntaishia kuwafukuza,sasa 100 hao watu utadeal nao vipi.
Unaweza kutoka kijijini ila kijiji kisikutoke.
 
Siwezi kuwa na 300M nikajenga kwny eneo lenye chini ya nusu heka

NASEMA SIWEZI
 
Hahahaha Yeye anajua Dar ndo kila kitu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…