Mwijaku alishindwa nini kununua kiwanja kinachoendana na mipango yake ya ujenzi? Kampuni ya ujenzi ilishindwa kumshauri?

Mleta uzi umeongea hoja ya msingi sana japokuwa Kuna wadau naona wanakunanga.

Kimsingi Kuna changamoto kubwa sana Kwa mamlaka zinazohusika na utoaji wa vibali hada kwenye marneo ambayo yanatumika mchangantiko yaani nyumba za ghorofa na chini. Kwani Kuna issue ya privacy pia inahitaji kuzingatiwa na ndio maana eneo linatakiwa Lowe kubwa na nyumba ikijengwa kiasi kwamba usiweze kuona ndani ya uzio wa mwenzio.
 
Bila kusahau nyumba ya GSM kule Kigamboni sijui wapi
 
Hivi nyumba ya Peter Msechu Iko Wapi
 
Yani Mwijaku apate bilion hivi nyie bilion Moja mnadhani ni matako !


Ana enforcement ipi ya kumpa hiyo Hela hebu itaje hapa

Cha msingi ujiulize ana endorsements ngapi na hakuna endorsement ya makampuni kwa celebrity mkubwa itakayotoka kwa 5m brother..

Uzuri pia 1B mimi sina ila najua ni milion 100 kumi, milioni kumi 100, milioni 1 1000

Kwa celebrity aliye serious na akawa hana show offs, naamini hiyo pesa anaweza kupata.

Ni imani yangu tu mkuu
 
Mwijaku naye kazidi sifa Mara bilioni tatu Mara bil 1.3 sijui tushike lipi

Bado nyumba ya msechu itabaki kuwa no 1
Mwijaku yeye alitaka tu kutimiza ndoto yake kujenga gorofa ila finishing yake ya kawaida tu

Hongera zake lakini ameupiga mwingi
Haha Na ya Aristote je
 
porojo
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…