Jodoki Kalimilo
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 12,559
- 11,180
Mleta uzi umeongea hoja ya msingi sana japokuwa Kuna wadau naona wanakunanga.
Kimsingi Kuna changamoto kubwa sana Kwa mamlaka zinazohusika na utoaji wa vibali hada kwenye marneo ambayo yanatumika mchangantiko yaani nyumba za ghorofa na chini. Kwani Kuna issue ya privacy pia inahitaji kuzingatiwa na ndio maana eneo linatakiwa Lowe kubwa na nyumba ikijengwa kiasi kwamba usiweze kuona ndani ya uzio wa mwenzio.
Kimsingi Kuna changamoto kubwa sana Kwa mamlaka zinazohusika na utoaji wa vibali hada kwenye marneo ambayo yanatumika mchangantiko yaani nyumba za ghorofa na chini. Kwani Kuna issue ya privacy pia inahitaji kuzingatiwa na ndio maana eneo linatakiwa Lowe kubwa na nyumba ikijengwa kiasi kwamba usiweze kuona ndani ya uzio wa mwenzio.