Pre GE2025 Mwijaku anajikuta nani hasa? Ifike mahala tuanze gomea biashara za chawa wote, unfollow kwenye mambo yao yote!

Pre GE2025 Mwijaku anajikuta nani hasa? Ifike mahala tuanze gomea biashara za chawa wote, unfollow kwenye mambo yao yote!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Kupitia ukurasa wake wa X Mwijaku ameweka picha ikionesha Polisi wa Kenya akiwa amenyooshea mtutu raia, ambapo ameandika;

"Huu ndio ujinga nisio utaka, Hakuna alie shindana na serikali akafanikiwa. So jifunze kuheshimu mamlaka . Ndugi zangu wakenya fateni njia sahihi za kuishauri serikali yenu. Huu ujinga utawatokea Puani."

1719053028700.png

Kwamba anasapoti violence ya polisi, anasapoti serikali kuminya haki na kutumia mabavu kuminya haki na za wananchi, anasapiti serikali kuwa juu ya katika ya kutosikiliza wananchi ambao ndio walipa kodi kuendesha shughuli za nchi na hata kulipa mishahara yao.

Wabongo wengi waoga kuingia bararani, ila hata hili la kuwashughulikia hawa wapuuzi mtandaoni linatushinda? Naamini hatuwezi shindwa hili;

1. Wasanii wote machawa na wajinga wanaotetea matumbo yao unfollow wote kwenye page zao za kijamii, kata mirija yote inayowatia viburi, hakuna kuungisha chochote kwenye biashara zao mpaka ikili iwakae sawa. Wakati huo huo tuoneshe sapoti kubwa kwa wasanii wote ambao wanatetea maslahi ya umma

2. Viongozi wote chawa, wala rushwa, wabadhirifu wa mali ya umma, mafisadi, hakuna lolote wanalofanya bungeni zaidi ya kusema ndio wakati jimboni kwake kuna matatizo chungu nzima tuvamie page zao vilivyo, piga spana sawa sawa mpaka bongo walizozitoa kichwani zianze kufanya kazi

3. Mawaziri wote mizigo wakiongozwa na 'Bumunda' pamoja na 'Zakayo' ni watu ambao hawatakiwi kupumua, kwa nguvu moja tunatakiwa kupinga wazi wazi yote yanayotukandamiza. Hatutakiwi kuwa kimya wakati tunafanyiwa uvunjivu mkubwa wa haki.

Tushindwe kwenda barabarani hata u-Keyboard Warrior nao utushinde kweli kabisa? Vijana tunaangusha hili taifa! Amkeni jamani tujitetee, Tanzania inatuhitaji.
 
Mwijaku ni mchicha mwiba siku nyingi sana, huna sababu ya kumuongelea. Hata Tanzania very soon vijana watajaa barabarani mbwaaaa huyu anadhania watu wote tunapata hela kwa kubinua kalio? Tena aache usengeee.....Hilo ni pungaa long time agoooooooo
 
Mwijaku ni mchicha mwiba siku nyingi sana, huna sababu ya kumuongelea. Hata Tanzania very soon vijana watajaa barabarani mbwaaaa huyu anadhania watu wote tunapata hela kwa kubinua kalio? Tena aache usengeee.....Hilo ni pungaa long time agoooooooo
Tatizo ni kuwa si huyu tu anayecorrupt minds za watanzania, wako wengi, ni muda wa kuanza kufanya kitu, kukoment kwenye page zao tu haitoshi, ubinafsi zao unatucost wote, ni wakati wa kuwakataa chawa wote kuanzia watu maarufu mpaka wanasiasa
 
Kupitia ukurasa wake wa X Mwijaku ameweka picha ikionesha Polisi wa Kenya akiwa amenyooshea mtutu raia, ambapo ameandika;

"Huu ndio ujinga nisio utaka, Hakuna alie shindana na serikali akafanikiwa. So jifunze kuheshimu mamlaka . Ndugi zangu wakenya fateni njia sahihi za kuishauri serikali yenu. Huu ujinga utawatokea Puani."

Kwamba anasapoti violence ya polisi, anasapoti serikali kuminya haki na kutumia mabavu kuminya haki na za wananchi, anasapiti serikali kuwa juu ya katika ya kutosikiliza wananchi ambao ndio walipa kodi kuendesha shughuli za nchi na hata kulipa mishahara yao.

Wabongo wengi waoga kuingia bararani, ila hata hili la kuwashughulikia hawa wapuuzi mtandaoni linatushinda? Naamini hatuwezi shindwa hili;

1. Wasanii wote machawa na wajinga wanaotetea matumbo yao unfollow wote kwenye page zao za kijamii, kata mirija yote inayowatia viburi, hakuna kuungisha chochote kwenye biashara zao mpaka ikili iwakae sawa. Wakati huo huo tuoneshe sapoti kubwa kwa wasanii wote ambao wanatetea maslahi ya umma

2. Viongozi wote chawa, wala rushwa, wabadhirifu wa mali ya umma, mafisadi, hakuna lolote wanalofanya bungeni zaidi ya kusema ndio wakati jimboni kwake kuna matatizo chungu nzima tuvamie page zao vilivyo, piga spana sawa sawa mpaka bongo walizozitoa kichwani zianze kufanya kazi

3. Mawaziri wote mizigo wakiongozwa na 'Bumunda' pamoja na 'Zakayo' ni watu ambao hawatakiwi kupumua, kwa nguvu moja tunatakiwa kupinga wazi wazi yote yanayotukandamiza. Hatutakiwi kuwa kimya wakati tunafanyiwa uvunjivu mkubwa wa haki.

Tushindwe kwenda barabarani hata u-Keyboard Warrior nao utushinde kweli kabisa? Vijana tunaangusha hili taifa! Amkeni jamani tujitetee, Tanzania inatuhitaji.
Mwinjanku ndio nani muigizaji ama?

Wewe una wafolo hao akina Munjaku kwenye ma x yao ili kugundua nini?
 
Kupitia ukurasa wake wa X Mwijaku ameweka picha ikionesha Polisi wa Kenya akiwa amenyooshea mtutu raia, ambapo ameandika;

"Huu ndio ujinga nisio utaka, Hakuna alie shindana na serikali akafanikiwa. So jifunze kuheshimu mamlaka . Ndugi zangu wakenya fateni njia sahihi za kuishauri serikali yenu. Huu ujinga utawatokea Puani."

Kwamba anasapoti violence ya polisi, anasapoti serikali kuminya haki na kutumia mabavu kuminya haki na za wananchi, anasapiti serikali kuwa juu ya katika ya kutosikiliza wananchi ambao ndio walipa kodi kuendesha shughuli za nchi na hata kulipa mishahara yao.

Wabongo wengi waoga kuingia bararani, ila hata hili la kuwashughulikia hawa wapuuzi mtandaoni linatushinda? Naamini hatuwezi shindwa hili;

1. Wasanii wote machawa na wajinga wanaotetea matumbo yao unfollow wote kwenye page zao za kijamii, kata mirija yote inayowatia viburi, hakuna kuungisha chochote kwenye biashara zao mpaka ikili iwakae sawa. Wakati huo huo tuoneshe sapoti kubwa kwa wasanii wote ambao wanatetea maslahi ya umma

2. Viongozi wote chawa, wala rushwa, wabadhirifu wa mali ya umma, mafisadi, hakuna lolote wanalofanya bungeni zaidi ya kusema ndio wakati jimboni kwake kuna matatizo chungu nzima tuvamie page zao vilivyo, piga spana sawa sawa mpaka bongo walizozitoa kichwani zianze kufanya kazi

3. Mawaziri wote mizigo wakiongozwa na 'Bumunda' pamoja na 'Zakayo' ni watu ambao hawatakiwi kupumua, kwa nguvu moja tunatakiwa kupinga wazi wazi yote yanayotukandamiza. Hatutakiwi kuwa kimya wakati tunafanyiwa uvunjivu mkubwa wa haki.

Tushindwe kwenda barabarani hata u-Keyboard Warrior nao utushinde kweli kabisa? Vijana tunaangusha hili taifa! Amkeni jamani tujitetee, Tanzania inatuhitaji.
Mimi nilikua simjui mwijaku lakini wewe umesababisha nianze kumfutilia kujua ni nani!
 
Hadi kenya inapata katiba mpya 2010 ilikuwa ni matokeo ya mauji ya maelfu yaliyotokea 2007. Sijui kama anajua lolote huyu mpumbavu

Kenya yaongozwa kwa katiba mpya​

27 Agosti 2010
Kenya imeandika historia mpya ya utawala nchini humo kwa kuidhinisha katiba mpya, iliyotungwa na wananchi wenyewe, baada ya ile iliyokuwa ikiitumia kabla ya kupata uhuru wake mwaka 1963.
Rais Mwai Kibaki, aliwaongoza maelefu ya raia wake walioshuhudia akitia saini katiba mpya ya nchi hiyo katika sherehe zilizofanyika viwanja vya Bustani ya Uhuru mjini Nairobi siku ya Ijumaa.

Mweleko mpya​

Katiba hiyo mpya inabadili namna madaraka yanavyogawanywa na kusimamiwa nchini humo.
Katiba hiyo imepangwa kuzuia aina yoyote ya vurugu kama zile zilizofuatia baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2007, wakati zaidi ya watu elfu moja waliuawa kutokana na mgogoro wa kupinga matokeo yaliyompa ushindi Rais Kibaki.
Pia ina udhibiti mkubwa kuhusu madaraka ya rais, na inatoa madaraka kwa serikali za majimbo na kuwaongezea uhuru wananchi.
 
Bahati mbaya hatunaga umoja huo...wabongo tulishaharibiwa na mifumo yetu...ubinafsi, roho mbaya, kulishwa mambo ya kijinga na yasiyoisaidia jamii na wanasiasa..mbaya zaidi mfumo wetu wa elimu unatufanya tuwe hapa..
Tunaweza Mkuu hakuna kinachoshindikana, mimi, wewe na yule ambaye siyo mbinafsi mdogo mdogo tunaweza kuwashawishi wengine
 
Back
Top Bottom