Pre GE2025 Mwijaku anajikuta nani hasa? Ifike mahala tuanze gomea biashara za chawa wote, unfollow kwenye mambo yao yote!

Pre GE2025 Mwijaku anajikuta nani hasa? Ifike mahala tuanze gomea biashara za chawa wote, unfollow kwenye mambo yao yote!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kwani wewe ni nani Hadi umpangie Mwijaku maisha au wa ku associate nae?

Huu mda wa kuandika upuuzi ungeutumia kutafuta hela familia Yako, Serikali haigawi pesa.

Mwisho Wabunge wa Kenya wamepitisha finance bill so Mwijaku Yuko sawa kwamba hawajafaulu kushinda Serikali
Hiyo budget wanampitishia nani Kama Wananchi hawataki?.
 
Sasa Gen Z mtasusia bidhaa ni bidhaa gani mnanunua zaidi ya jezi za simba, yang/azam na kondomu, azuma na energy drinks.

Hilo lingewezekana kama vijana wanafuatilia siasa na kujua nini kinaendelea.
Nje ya kujua raisi ni Samia, vice ni Mpango(vijana hawamjui huyu) na PM ni Majaliwa (anafahamika), kipi kingine vijana wanakijua??

Nenda kijiwe chochote kama upo dsm uone wanachodiscuss muda mwingi au uliza magazeti yanayouzika sana...

Ile siku ya pili yake baada ya Madelu kusoma bajeti, unategemea labda ndo iwe big issue, ila wala hamna.
Hao Gen Z hata hawajui nini kinaendelea mpaka sasa.
 
Kwani wewe ni nani Hadi umpangie Mwijaku maisha au wa ku associate nae?

Huu mda wa kuandika upuuzi ungeutumia kutafuta hela familia Yako, Serikali haigawi pesa.

Mwisho Wabunge wa Kenya wamepitisha finance bill so Mwijaku Yuko sawa kwamba hawajafaulu kushinda Serikali
#kataaa chawaaaa
 
Eti Ndugi zangu wakenya Fateni...

Yaani hata kuandika vizuri Mwijaku hawezi

Hili jamaa ni jingajinga sana na Chawa mpumbavu

Inashangaza sana kama kuna Mwanaume na akili zake anayemfuatilia
Sijaonaga mpare wapumbavu kama wewe
#kataaa chawaaa
 
Hawa wasikusumbue, hakuna udikteka unaokosa enablers. Hata Mobutu alikuwa nao wengi tu, siku alipoondoka nao wakapotea
 
Sasa Gen Z mtasusia bidhaa ni bidhaa gani mnanunua zaidi ya jezi za simba, yang/azam na kondomu, azuma na energy drinks.

Hilo lingewezekana kama vijana wanafuatilia siasa na kujua nini kinaendelea.
Nje ya kujua raisi ni Samia, vice ni Mpango(vijana hawamjui huyu) na PM ni Majaliwa (anafahamika), kipi kingine vijana wanakijua??

Nenda kijiwe chochote kama upo dsm uone wanachodiscuss muda mwingi au uliza magazeti yanayouzika sana...

Ile siku ya pili yake baada ya Madelu kusoma bajeti, unategemea labda ndo iwe big issue, ila wala hamna.
Hao Gen Z hata hawajui nini kinaendelea mpaka sasa.
Ni huzuni kwa kweli😬
 
Kupitia ukurasa wake wa X Mwijaku ameweka picha ikionesha Polisi wa Kenya akiwa amenyooshea mtutu raia, ambapo ameandika;

"Huu ndio ujinga nisio utaka, Hakuna alie shindana na serikali akafanikiwa. So jifunze kuheshimu mamlaka . Ndugi zangu wakenya fateni njia sahihi za kuishauri serikali yenu. Huu ujinga utawatokea Puani."

Kwamba anasapoti violence ya polisi, anasapoti serikali kuminya haki na kutumia mabavu kuminya haki na za wananchi, anasapiti serikali kuwa juu ya katika ya kutosikiliza wananchi ambao ndio walipa kodi kuendesha shughuli za nchi na hata kulipa mishahara yao.

Wabongo wengi waoga kuingia bararani, ila hata hili la kuwashughulikia hawa wapuuzi mtandaoni linatushinda? Naamini hatuwezi shindwa hili;

1. Wasanii wote machawa na wajinga wanaotetea matumbo yao unfollow wote kwenye page zao za kijamii, kata mirija yote inayowatia viburi, hakuna kuungisha chochote kwenye biashara zao mpaka ikili iwakae sawa. Wakati huo huo tuoneshe sapoti kubwa kwa wasanii wote ambao wanatetea maslahi ya umma

2. Viongozi wote chawa, wala rushwa, wabadhirifu wa mali ya umma, mafisadi, hakuna lolote wanalofanya bungeni zaidi ya kusema ndio wakati jimboni kwake kuna matatizo chungu nzima tuvamie page zao vilivyo, piga spana sawa sawa mpaka bongo walizozitoa kichwani zianze kufanya kazi

3. Mawaziri wote mizigo wakiongozwa na 'Bumunda' pamoja na 'Zakayo' ni watu ambao hawatakiwi kupumua, kwa nguvu moja tunatakiwa kupinga wazi wazi yote yanayotukandamiza. Hatutakiwi kuwa kimya wakati tunafanyiwa uvunjivu mkubwa wa haki.

Tushindwe kwenda barabarani hata u-Keyboard Warrior nao utushinde kweli kabisa? Vijana tunaangusha hili taifa! Amkeni jamani tujitetee, Tanzania inatuhitaji.
Sasa mbona wamefanikiwa? Mkiwa wamoja hakuna cha kuwazuia.
 
Back
Top Bottom