Pre GE2025 Mwijaku anajikuta nani hasa? Ifike mahala tuanze gomea biashara za chawa wote, unfollow kwenye mambo yao yote!

Pre GE2025 Mwijaku anajikuta nani hasa? Ifike mahala tuanze gomea biashara za chawa wote, unfollow kwenye mambo yao yote!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kupitia ukurasa wake wa X Mwijaku ameweka picha ikionesha Polisi wa Kenya akiwa amenyooshea mtutu raia, ambapo ameandika;

"Huu ndio ujinga nisio utaka, Hakuna alie shindana na serikali akafanikiwa. So jifunze kuheshimu mamlaka . Ndugi zangu wakenya fateni njia sahihi za kuishauri serikali yenu. Huu ujinga utawatokea Puani."

Kwamba anasapoti violence ya polisi, anasapoti serikali kuminya haki na kutumia mabavu kuminya haki na za wananchi, anasapiti serikali kuwa juu ya katika ya kutosikiliza wananchi ambao ndio walipa kodi kuendesha shughuli za nchi na hata kulipa mishahara yao.

Wabongo wengi waoga kuingia bararani, ila hata hili la kuwashughulikia hawa wapuuzi mtandaoni linatushinda? Naamini hatuwezi shindwa hili;

1. Wasanii wote machawa na wajinga wanaotetea matumbo yao unfollow wote kwenye page zao za kijamii, kata mirija yote inayowatia viburi, hakuna kuungisha chochote kwenye biashara zao mpaka ikili iwakae sawa. Wakati huo huo tuoneshe sapoti kubwa kwa wasanii wote ambao wanatetea maslahi ya umma

2. Viongozi wote chawa, wala rushwa, wabadhirifu wa mali ya umma, mafisadi, hakuna lolote wanalofanya bungeni zaidi ya kusema ndio wakati jimboni kwake kuna matatizo chungu nzima tuvamie page zao vilivyo, piga spana sawa sawa mpaka bongo walizozitoa kichwani zianze kufanya kazi

3. Mawaziri wote mizigo wakiongozwa na 'Bumunda' pamoja na 'Zakayo' ni watu ambao hawatakiwi kupumua, kwa nguvu moja tunatakiwa kupinga wazi wazi yote yanayotukandamiza. Hatutakiwi kuwa kimya wakati tunafanyiwa uvunjivu mkubwa wa haki.

Tushindwe kwenda barabarani hata u-Keyboard Warrior nao utushinde kweli kabisa? Vijana tunaangusha hili taifa! Amkeni jamani tujitetee, Tanzania inatuhitaji.
Kwani wewe ni nani Hadi umpangie Mwijaku maisha au wa ku associate nae?

Huu mda wa kuandika upuuzi ungeutumia kutafuta hela familia Yako, Serikali haigawi pesa.

Mwisho Wabunge wa Kenya wamepitisha finance bill so Mwijaku Yuko sawa kwamba hawajafaulu kushinda Serikali
 
Tusifike huko Mkuu, tunaweza kuwabadilisha kwa njia nyingine, hawatushindwi kabisa
Nimejaribu kuongea uhalisia. Sisi Watanzania sio watu wa visasi wala sio watu wa kuweka mambo moyoni. Ila hiyo michezo anayofanya huwezi fanya hapo Rwanda, Burundi, Nchi za Afrika Magharibi hasa zile za Wafaransa.

Huko uongozi unabadilika dakika mbili tu halafu raia wanakubananisha wanakuambia "Wewe kipindi sisi tunateseka ulishirikiana na watesi kututesa"...Kinachofata kinajulika.

Hadi sasa uchawa umekuwa proved kufanya kazi kwa 100% hapa Bongo tu.
Huku watu wanaweza wakavunjiwa nyumba zao kinyume cha sheria na mpumbavu mmoja akaipongeza serikali fresh tu na mtaani anadunda.

Siwezi kusema hatutofika huko ila mwenendo unaonesha tunaelekea huko.
 
Kupitia ukurasa wake wa X Mwijaku ameweka picha ikionesha Polisi wa Kenya akiwa amenyooshea mtutu raia, ambapo ameandika;

"Huu ndio ujinga nisio utaka, Hakuna alie shindana na serikali akafanikiwa. So jifunze kuheshimu mamlaka . Ndugi zangu wakenya fateni njia sahihi za kuishauri serikali yenu. Huu ujinga utawatokea Puani."

Kwamba anasapoti violence ya polisi, anasapoti serikali kuminya haki na kutumia mabavu kuminya haki na za wananchi, anasapiti serikali kuwa juu ya katika ya kutosikiliza wananchi ambao ndio walipa kodi kuendesha shughuli za nchi na hata kulipa mishahara yao.

Wabongo wengi waoga kuingia bararani, ila hata hili la kuwashughulikia hawa wapuuzi mtandaoni linatushinda? Naamini hatuwezi shindwa hili;

1. Wasanii wote machawa na wajinga wanaotetea matumbo yao unfollow wote kwenye page zao za kijamii, kata mirija yote inayowatia viburi, hakuna kuungisha chochote kwenye biashara zao mpaka ikili iwakae sawa. Wakati huo huo tuoneshe sapoti kubwa kwa wasanii wote ambao wanatetea maslahi ya umma

2. Viongozi wote chawa, wala rushwa, wabadhirifu wa mali ya umma, mafisadi, hakuna lolote wanalofanya bungeni zaidi ya kusema ndio wakati jimboni kwake kuna matatizo chungu nzima tuvamie page zao vilivyo, piga spana sawa sawa mpaka bongo walizozitoa kichwani zianze kufanya kazi

3. Mawaziri wote mizigo wakiongozwa na 'Bumunda' pamoja na 'Zakayo' ni watu ambao hawatakiwi kupumua, kwa nguvu moja tunatakiwa kupinga wazi wazi yote yanayotukandamiza. Hatutakiwi kuwa kimya wakati tunafanyiwa uvunjivu mkubwa wa haki.

Tushindwe kwenda barabarani hata u-Keyboard Warrior nao utushinde kweli kabisa? Vijana tunaangusha hili taifa! Amkeni jamani tujitetee, Tanzania inatuhitaji.
Huyu Ni mpumbafu mmoja
 
Kinachouma zaidi gari hizo za milioni 400, mafuta ya gari, chakula, miradi yao, nyumba n.k ni kodi za wananchi, hata watoto wao wanajaza vyoo kwa kodi za wananchi, hizo posho za vikao na kila kitu hadi pesa wanzohonga hawara zao ni kodi za wananchi.
 
Kwani wewe ni nani Hadi umpangie Mwijaku maisha au wa ku associate nae?

Huu mda wa kuandika upuuzi ungeutumia kutafuta hela familia Yako, Serikali haigawi pesa.

Mwisho Wabunge wa Kenya wamepitisha finance bill so Mwijaku Yuko sawa kwamba hawajafaulu kushinda Serikali
Mtakuja tu wotee, Wakuu Chawa nyingine hii hapa ya kuishughulikia na kurudisha ubongo kwenye fuvu lake lililojaa hewa

#KataaMachawa
#KataaUozo2025

Mkuu Blessed Tajiri tumeanza kuwanyoosha huku:KEKLaugh::KEKLaugh::KEKLaugh:
 
Mwinjanku ndio nani muigizaji ama?

Wewe una wafolo hao akina Munjaku kwenye ma x yao ili kugundua nini?
Nami nilitaka kuuliza swali kama hilo.
Ni nani huyo? Yuko wizara gani?
Kwanini wanampa headlines? Watanzania tuna mengi sana ya kujadili. Hatuna muda wa kujadili wasiofahamika.

Tujadili hoja mfano kuuzwa kwa bandari, je ni kweli wameuza? Bima za afya kwa wanufaika je zinakidhi mahitaji yao ya tiba?
 
Nami nilitaka kuuliza swali kama hilo.
Ni nani huyo? Yuko wizara gani?
Kwanini wanampa headlines? Watanzania tuna mengi sana ya kujadili. Hatuna muda wa kujadili wasiofahamika.

Tujadili hoja mfano kuuzwa kwa bandari, je ni kweli wameuza? Bima za afya kwa wanufaika je zinakidhi mahitaji yao ya tiba?
Mleta mada ni kama anampigia promo Mwanjuku.
 
Kwani wewe ni nani Hadi umpangie Mwijaku maisha au wa ku associate nae?

Huu mda wa kuandika upuuzi ungeutumia kutafuta hela familia Yako, Serikali haigawi pesa.

Mwisho Wabunge wa Kenya wamepitisha finance bill so Mwijaku Yuko sawa kwamba hawajafaulu kushinda Serikali
Mipango ya Serikali ndio huamua hatma ya maisha ya wananchi ,utaitenganishaje Serikali na wananchi kupata pesa?
 
Back
Top Bottom