Mwijaku atoa onyo kwa atakayepita na mke wake

Mwijaku atoa onyo kwa atakayepita na mke wake

[emoji23] Mwijaku nae ana mke mwee maisha haya.
 
"POLE MASANJA Nawakumbusha vijana oweni wanawake wenye ustaamilivu na uvumilivu kama mke wangu, Asiye na tamaa za KIJINGA za ngono zembe,. Sema nawaonya mie mtu akinichezea kwenye utamu wangu hata kama anajiua yaani nitamfufua namuua tena Na namfilimba ndio azikweee

Nb: Msiseme sikuwaambia
 
Mumkumbushe na yeye asianze kelele zake za kumtukana mamba, kabla hajavuka mto.

ROBERT HERIEL alishatuambia humu, tusiwaamini sana hawa viumbe! Unaweza ukamuwekea dhamana, halafu akaja kukuangusha katika mazingira ya kijinga kabisa.
 
Nani amtamani mke wake yupo kama ng'ombe? Na yeye mwenyewe ni kama gorilla jike.
 
Kwani mke wake kamkuta na bikra? Na wale wote walikuwa wanamlaga mke wake inamaana hawaendelei kupiga?
 
Back
Top Bottom