MasterP.
JF-Expert Member
- Jun 5, 2013
- 8,063
- 6,405
Kama vile..Alikuwa Mkuu wa Mkoa wa Zamani wa Dar, Ma-Dereva; alikuwa anamsema "Pierre Liquid". Pierre Liquid akawa mdogo kama "Punje ya Aladali".
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama vile..Alikuwa Mkuu wa Mkoa wa Zamani wa Dar, Ma-Dereva; alikuwa anamsema "Pierre Liquid". Pierre Liquid akawa mdogo kama "Punje ya Aladali".
Mkuuu usisahau na pierre liquid ashawahi alikwaaa hahahahahahahahahNI UJINGA JUU YA UJINGA HADI KWENYE TAASISI NA MHIMILI MKUU WA NCHI.
WANASHINDWA KUALIKA WAVUMBUZI KAMA KINA KIPANYA, WATU MASHUHURI WALIOFANYIA NCHI MAKUBWA WAO WANAALIKA HAO JAMAA.
KAMA TAIFA KUNA JAMBO HALIKO SAWA
Lile lilikua matako sana kichwani kama alivyojaaliwa mahips na matako makubwa mazuri.Bashite kwa lile alitoa boko. Kwenye ile siku watu walikusanyika pale kuchangia kampeni na Pierre Liquid alitoa shilingi za kutosha tu. Sasa kama kiongozi kwa ile personal attack hakuonyesha busara.
Hii nchi ngumu sana