Varbo
JF-Expert Member
- Aug 14, 2012
- 1,121
- 885
Mwijaku ana CV nzito lakini ni Chawa wa mtu wa darasa la saba. Nikionacho mimi na marumbano yanayoendelea yeye na timu ya Diamond hadi kupelekea kutoa vyeti vyake hadharani anakidhalilisha chuo chetu.
Kweli mtu mwenye degree unaweza kua mpuuzi kiasi kile? Kuna umuhimu mkubwa elimu yetu ifanyiwe marekebisho
Kweli mtu mwenye degree unaweza kua mpuuzi kiasi kile? Kuna umuhimu mkubwa elimu yetu ifanyiwe marekebisho