Mwijaku na CV zake za UDSM

Mwijaku na CV zake za UDSM

Varbo

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2012
Posts
1,121
Reaction score
885
Mwijaku ana CV nzito lakini ni Chawa wa mtu wa darasa la saba. Nikionacho mimi na marumbano yanayoendelea yeye na timu ya Diamond hadi kupelekea kutoa vyeti vyake hadharani anakidhalilisha chuo chetu.

Kweli mtu mwenye degree unaweza kua mpuuzi kiasi kile? Kuna umuhimu mkubwa elimu yetu ifanyiwe marekebisho
 
Siyo kila aliyesoma kaelimika wengine hasha


Ujue matumizi ya elimu aliyopata mtu katika uhalisia wa maisha ni kitu kingine kabisa.

Kuna watu wanakalili Tu ili afaulu na ndiyo inayotokea Kwa wasomi mengi, Bali wasomi wachache sana wanaweza kuitumia elimu Yao katika maisha halisi



Nkola
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila UDSM jaman khaaah, kila baya linatupiwa pale khaaah
 
Back
Top Bottom