George Betram
JF-Expert Member
- Oct 10, 2015
- 4,672
- 6,272
Kama hicho anachokifanya Mwijaku anaamini kitaondoa umasikini kwenye ukoo wake basi siwezi kumsimanga wala kumlaumu.
Umasikini mbaya sana!!!
Umasikini mbaya sana!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yani Mwijakuu analala hoiiii hoiii mnooo
Jimbo la Muheza ni jimbo linaloongoza kwa ufukara, linaongoza kwa ukosefu wa Maji ila wananchi wake wanafanya huo upuuzi inasikitisha sana🚮