Kweli nimeamini Ajira ni ngumu, ila kazi zipo nyingi sanaa. Tafuta fursa tuu! Huyu DC Mwijaku anaonekana Kituko lakini yupo kazini hiyo ni project ameandika wazo akalipeleka kwa Wenye hela na kwa vile wenye hela wamepewa Kofia basi wakaona litafaa ili wao weendelee kunufaika..yaani hii inaitwa Mutual benefit.