MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,661
- 21,656
DNA za kibongo zimeshampa mtoto diamond..
Hana pa kukimbilia..
Maana mobetto alimla kavu kavu na mobetto nae mtoto wa mjini hawezi kukubali huku anajua kwa diamond kuna child support kubwa, ada za feza zipo, na mirathi kubwa ipo mbeleni kwa mwanae.
Mtoto wa Tandale amekutana na Mtoto wa Tandika
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uswahilini hoyeeeeeeeeDNA za kibongo zimeshampa mtoto diamond..
Hana pa kukimbilia..
Maana mobetto alimla kavu kavu na mobetto nae mtoto wa mjini hawezi kukubali huku anajua kwa diamond kuna child support kubwa, ada za feza zipo, na mirathi kubwa ipo mbeleni kwa mwanae.
Mtoto wa Tandale amekutana na Mtoto wa Tandika
Aisee Bongo kuna maajabu sana.DNA za kibongo zimeshampa mtoto diamond..
Hana pa kukimbilia..
Maana mobetto alimla kavu kavu na mobetto nae mtoto wa mjini hawezi kukubali huku anajua kwa diamond kuna child support kubwa, ada za feza zipo, na mirathi kubwa ipo mbeleni kwa mwanae.
Mtoto wa Tandale amekutana na Mtoto wa Tandika
Mond, wema,zari ,Aiseeeee Dry Chama Ruge-->Nandy-->Nenga--->Mobetto-->Jizzo-->Lulu -----Ni kazeze Ni Kazeze.
Nimesoma comments zote dry. Au labda Nandy msagaji kwamba alimsaga Mobetto? Sasa how mimba?Sijaelewa kabisa ninachojua nandy ni mwanamke sasa iweje ahusiane na huyo mtoto?
Hapana Mwijaku anamaanisha kwamba Nandy ndo kama Baba wa familia kwa maana majukumu yote ya familia kayabeb yeye ya kwamba Billnass analelewa,So anamtaka Nandy akamchukue mtoto anayedaiwa wa Billnass kwa maana yeye ndiye atakayehusika katika matunzoNimesoma comments zote dry. Au labda Nandy msagaji kwamba alimsaga Mobetto? Sasa how mimba?
We ni kilaza hujaelewa kitu soma tenaHapana Mwijaku anamaanisha kwamba Nandy ndo kama Baba wa familia kwa maana majukumu yote ya familia kayabeb yeye ya kwamba Billnass analelewa,So anamtaka Nandy akamchukue mtoto anayedaiwa wa Billnass kwa maana yeye ndiye atakayehusika katika matunzo
We fala nini! Sasa hapo ambacho hakieleweki ni nini,Nandy ana mtoto na Mobeto!??We ni kilaza hujaelewa kitu soma tena
Mobeto ana mtoto wa billinas we ni kilaza kubaliWe fala nini! Sasa hapo ambacho hakieleweki ni nini,Nandy ana mtoto na Mobeto!??