Mwijaku: Ni wakati sahihi kwa Nandy kuanza kupeleka matumizi ya mtoto kwa Mobetto

MSAGA SUMU

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2015
Posts
6,661
Reaction score
21,656
Mwijaku amedai ni aibu kubwa kwa msanii mkubwa Kama Nandy na mumewe kuendelea kusaidiwa kutunziwa Mtoto na msanii mwenzake Diamond.

Mwijaku amemtaka Nandy akamshukuru ndg Diamond kwa kipindi chote alichomsaidia na malezi ,Kisha yeye kuendelea kutuma hela ya matumizi kwa Mobetto mpaka Mtoto atakapokuwa mkubwa na kuamia rasmi kwa Nandy.

Wakuu Kuna mtu amemuelewa huyu mwamba?
 
DNA za kibongo zimeshampa mtoto diamond..

Hana pa kukimbilia..

Maana mobetto alimla kavu kavu na mobetto nae mtoto wa mjini hawezi kukubali huku anajua kwa diamond kuna child support kubwa, ada za feza zipo, na mirathi kubwa ipo mbeleni kwa mwanae.

Mtoto wa Tandale amekutana na Mtoto wa Tandika
 

Aiseeeee Dry Chama Ruge-->Nandy-->Nenga--->Mobetto-->Jizzo-->Lulu -----Ni kazeze Ni Kazeze.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uswahilini hoyeeeeeeee
 
Aisee Bongo kuna maajabu sana.
Juzi nilishangaa kusikia mwili uliozikwa 2020 ufukuliwe tena kwa amri ya mahakama kwa ajili ya uchunguzi.

Nilishangaa!!!!!

Kama vipimo vya DNA TU VYA MOND NA Mobeto vilitoa majibu ya ndiyo kumbe hapana. Hili la mwili wa marehemu wataliweza?
 
Nimesoma comments zote dry. Au labda Nandy msagaji kwamba alimsaga Mobetto? Sasa how mimba?
Hapana Mwijaku anamaanisha kwamba Nandy ndo kama Baba wa familia kwa maana majukumu yote ya familia kayabeb yeye ya kwamba Billnass analelewa,So anamtaka Nandy akamchukue mtoto anayedaiwa wa Billnass kwa maana yeye ndiye atakayehusika katika matunzo
 
Hapana Mwijaku anamaanisha kwamba Nandy ndo kama Baba wa familia kwa maana majukumu yote ya familia kayabeb yeye ya kwamba Billnass analelewa,So anamtaka Nandy akamchukue mtoto anayedaiwa wa Billnass kwa maana yeye ndiye atakayehusika katika matunzo
We ni kilaza hujaelewa kitu soma tena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…