Pre GE2025 Mwijaku wa Kenya asema yeye sio chawa tena bali ni Balozi wa Rais Samia. Uchawa unaenda kuwa anguko la Samia!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu,

Kwa jinsi mambo yanavyoenda uchawa unaenda kuwa anguko la CCM.

Rais Samia unaweza usiwe na ufahamu mkubwa kupambana na mavitu complex, lakini hata hili dogo la uchawa unaacha mpaka linakuwa out of hand namna hii?

Anayekushauri anakupotosha, hawa machawa ndio watakuja kutumika dhidi yako kukuangusha, utakuja kushtuka jua lishazama, umeingia shimoni, wajumbe haoooo watakuacha uunge peke ako.

Endelea kuziba masikio na kuona wanaokukosoa ni maadui zako, hao hao wanaokuchekea ndio watakuwa mstari wa mbele kukuzika.


Nimelia sana, eti Balozi anasema tumpende sana Rais Samia maana Wakenya wanamtamani Wakenya watamani mtu anaushiriwa na jopo la machawa naye anafata kama bendera? Labda Wakenya wa Temu

Wapinzani wanazidi kupata kete za kukuzabua.

DJ tuongezee chawa wa kumpepea mama aendelee kuupiga mwingi
 
DJ tuongezee chawa wa kumpepea mama aendelee kuupiga mwingi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…