Clueless14
JF-Expert Member
- Aug 27, 2014
- 3,108
- 4,751
Hio ni bodyquake
Hahahaa acha utani mwenzio anaumwa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hio ni bodyquake
muda wowote hali hii hunitokea
mimi ni KE mkuu kwenye suala la ndugu sijui Lakin tiba yake ni niniBasi huenda kuna demu uliyemuacha kwa kumkejeli au kuna nduguzo wasiokupenda wanataka kukuangamiza.
Sawa mkuu je ni njia zipi nizitumie niachane na hofuHiyo Anxiety attack , acha hofu
mashekh ni yeyote yule amaKuna dua inaitwa Al ruqiya, wapo masheikh wanatoa majini, kwa kusoma qur an, sio waganga
Hizo ni dalili za damu nyingi mkuuHabari zenu wanajamvi....
jaman kuna jambo lisilo la kawaida linanisumbua sana ni kuhusu mwili wangu kutingishika wenyewe na vitu kutembea ndani ya Mishipa na wakati mwili unatingishika huwa unaenda kwa kasi sana
jamanii naombeni msaada je ni ugonjwa gani maana nimepima vipimo vingi Bila kupata majibu
Onana na daktari bingwa wa mishipa hapa utaambulia majibu kizungumkutiHabari zenu wanajamvi....
jaman kuna jambo lisilo la kawaida linanisumbua sana ni kuhusu mwili wangu kutingishika wenyewe na vitu kutembea ndani ya Mishipa na wakati mwili unatingishika huwa unaenda kwa kasi sana
jamanii naombeni msaada je ni ugonjwa gani maana nimepima vipimo vingi Bila kupata majibu
Ulijitibu vipi??Japo hutoamini mm nakupa ukweli ambao upo!
Una tatizo la Jini Mahaba, lipo katika hatua za awali!
Binafsi ilianza hivyo!
mkuu nimepima Lakin hakuna kituOnana na daktari bingwa wa mishipa hapa utaambulia majibu kizungumkuti
me pia kwenye jicho sometimes kama vile machozi yanatokaMimi hutingishika machoni,mala kwa chini ya jicho.mala kwa juu ya jicho.vurugu tu
Haya mambo sio kabsa....mwili kutingishika....unaskia midundo tuu mara machoni, mara kwenye mbavu, mara mgongoni.....ni shiidaa sanaa....sijui ni uchuro ama ninMimi hutingishika machoni,mala kwa chini ya jicho.mala kwa juu ya jicho.vurugu tu
Haya mambo sio kabsa....mwili kutingishika....unaskia midundo tuu mara machoni, mara kwenye mbavu, mara mgongoni.....ni shiidaa sanaa....sijui ni uchuro ama nin