Mwili uliokufa kuweza kurudishiwa uhai ndani ya maabara kubwa

Mwili uliokufa kuweza kurudishiwa uhai ndani ya maabara kubwa

Nimeenda kuchek hiyo video asee inavyoonekana jamaa hakufa ila alikuwa kwenye koma though mm ia naamini mwili unapo cease soul ina kuwa somewhere else
kuwa kwenye coma na to death hakuna utofauti kwani soul huwa inahamia kwenye plane nyingine ya maisha...well done to witness on that
 
ha ha ha wew jamaaaa unachekesha ujue...umewahi kufanya tafiti juu ya dawa ya ukimwi ukabaini kama umeiwashinda,,?? au unasubiri kusoma jounal tu,,,,?? kwa kifupi labda nikwambie ukweli kuwa ukimwi ulitengenezwa na mwanadamu na lengo la kutengeneza HIV virus ilikuwa ni kuchallenge immunity ya mwanadamu bada ya lots of series ya kuchallenge immunity kupitia bacteria na fungal,,,,,human immunity ilichallengiwa kwa bacteria na kuonekana iko strong but the last mission was to challenge the immunity that could bring totally failure ya autoregeneration ya blood cells ambazo zinafait infection.....ilikuweje mpaka wakafikia hatua ya kutengeneza kirusi huyo,,?? inshu ni kwamba mwili unapogundua kuwa kuna abnormal microbial kaingia huwa unasoma antigenic sequence za huyo mduduu na kupelekea kutengeneza antibody against the read antigenic sequence kabla haat hajazaliana sana mwilini...sasa wao madaktar walitaka kuona if wakipandikiza mdudu kwenye mwili wa binadamu walitegemea waone kama yule mdudu anaweza kuzaliana na kufikia titre value number kubwa zaidi kuzidi cell za mwili but hiyo system ilifell kwani human immunity ilikuwa inaprevent hiyo kitu ndo wakaa chini na kutafuta solution which organism ambaye angeweza kushunt down human immuno body system yote na kumfanya organism huyo azaliane kwa kasi zaid na kuzid threshhold titre value number ya cell zote mwili ndo wakaibuka na hilo wazo la kutengeneza genome itakayoshunt town total human immunity na kuruhus reproduction ya huy mdudu bila mwili kujua,,,,jaribio hilo lilifanikiwa kwa kuunganisha genomic fragments za virus tofaut tofaut na kuja na genome moja ambayo ilikuwa na uwezo wa kucease immunity fasta sana...mwaka 1870 huko waliporuhusu HIV virus kuivade human immunity ilikuwa ni kwamba mtu akipata HIV virus alikuwa anasurvive ndani ya siku 10 tu then anakufa sasa hiyo ikawa inawapa shida sana namna ya kujua how the reproduction rate ya virus ilivyokuwa inatrend ,wakarudi maabara tena wakampunguzia surface antigen aggresiveness ya gp 120 na gp 41 badae wakamrudisha tena uraian ambapo sasa alikuwa kashapunguziwa makali kiasi kwamba alianza kushunt down human immunity kwa rate ndogo ambapo mtu alikuwa akipata HIV alikuwa ana uwezo wa kusurvive kwa muda wa miezi 9 tu then immunity inashut down anakufa,wakakaaa tena wakarudisha HIV genome maabara wakafanya kitu kinachoitwa genomic surface antigeni editting ambapo walipunguza baadhi ya surface antigen glycoprotein na kumfanya HIV virus assiwe agrressive sana but awe anashut down taratibu na kufanta half life ya mtu mwenye HIV kuwa miaka 3 lakini bado walikuwa hawajaweza kufikia lengo la kujua how viral titre rate ilivyokuwa inatrend ndo wakarudi maabara ten na kuedit kwa mara ya mwisho viral genome kwa kuongeza baadhi ya glycoprotein kwenye surface ambayo ilikuwa na uwezo wa kumfanya VIRUS wa HIV awe na uwezo wa kuingia mwilini but akabaki asymptomatic for almost even ten years badae ndo aanze kufanya reproduction kwa rate ndogo ndgo sana ,,ndo mana HIV wa leo ni tofauti na wa mika ya 1990 huko,,HIV wa leo ukimpata unaweza ukasurvive asymptomatically [bila kuwa na dalili zozote] for almost even 15 years but there is a day italipuka tu,,so huyo ndo HIV virus unayemzungumzia wewe but sikulaumu simply because you know nothing about that,,but uliza hata madaktari kama wote wataweza kukwambia hivo but it is strictly prohibited ,,,,,,,lakini pia kuna secret nying mmbazo zinalielezea taifa la marekani kujihusisha na utengenezaji wa virus for economic purposes ,kwa mfano huyo HIV virus na H5N1 virus[wa mafuta ya ndege ] pamoja na Ebola virus ,hawa virus wanatiba yake kabsa but amerika anaendesha uchumi wake kupitia uuzaji wa siraha na medicine hasa virla innoculation kwenye jamiii,,anaingiza virus kijiweni lkini pia anatengeneza antiviral drugs ,,ndo mana nakwambia hawawezi kutoa dawa ya ukimwi au ebola wakati uchumi wake anategemea uuzaji wa dawa za ARVs pamoja na chanjo zake,kwa mfano tayri chanjo ya HIV virus tayri ipo tayr kwa garama ya milioni 80 per phase moja na unatikwa kupigwa mara 3 inaitwa IMMUNOPHILIN hiyo baba wanapigwa wenye pesa ndefu,utaishia kuisikia tu mitandaoni,,,,na ukiona siku wameeliminate HIV /AIDS basi ujue washaandaaa zigo jingine litakalokuja kwa staili yake,hizo dawa unazoona wanapewa wagonjwa wa HIV bure sio bure serikali yako kupitia wizara ya afya inalipia huko WHO ndo wanalazimisha wa wagwe bure huku viwanda vyao vikwa vbize kuzalisha dawa hivi unategemea watu waliopo viwandani walipwe na nani kuzalisha hizo dawa zinazopunguza makali ?? asikudanganye mtu et wameshindwa it is for economic purpose brooo.....wale jamaa huwa wanafanya long plane usifikiri wanplane za kitoto toto kamazetu ietiprojrec ya mikaka kumi ha ha wao minimum economc project ni miaka 100 ndo wanachange plani....kuna watu wanitwa ROCKEFELLE R FOUNDATION hawa ndo wanadhamini hayo yote ni hatari sana aise ohooo,,,,
This is heavy weight comment,, mbaya zaidi ni wachache sana wanaelewa haya mambo na nchi km za africa wanatumia sana ujinga wa raia kufanya hizo evil issuez zao asee
 
broooo,,,napenda san a kubishana in molecula level ,,naomba nikuulize kitu,,hivi unafikiri ukisikia kuwa wametengeza nerve unahis kuwa wanahitaji materiol sijui nini na nini..?? ishu pale ni kuitafuta gene inayouhusika kutengeneza specific nerve,,,nerve cell foemation is controlled by number of genes,,kila bundle la nerve linatengenezwa na specific genes,,so kazi ya gene ni kuruhus utengenezwaji wa kitu chochote mwilini....kwa mfano nenda kwa backresa kwenye kiwanda kinachotengeneza nazi au maziwa kama utakuwa kweli magari yanashusha nazi au madafu pale,,,yani wale jamaa wanadeal na gene iliyopo kwenye nazi inayohusika na kutengeneza flavour ,badae kupitia machine za PCR ndo wanazalisha genes nyingi zinazoruhus mabadiliko ya mchanganyiko na kujikuta unakuwa an radha kama na nazi but ni siri nzito aise ,,,mfno mwingine angalia kuku wa kizungu ,wanatotolewa bila nguvu za kiume za jogooo mwingine ,,au mayai ya kizungu yan wanchofanya ni kumchoma sindano kuku yenye genes zinazohusika na kutengeneza mayait mwilini na kuku anajikuta mwili wake unageuka kiwanda cha kufyatua mayi tu bila sperm,,huoni kwamba ni matokeo hatari hayo...ujue kama hujuio molecular technology hutawaweza kubishana kwa hili unless unataka uelewe mambo but siyo kubisha
Mkuu unataka kusema hizi nazi za viwandani kama za bkhresa hawatumii nazi kabisa ? yani wanachukua genes za nazi,,embu funguka kidogo hapa mkuu mama kweli sijawahi sikia mzigo wa nazi ukipelekwa huko kwa bahresa

Na vipi kuhusu hizi juisi ambazo unakuta zina ladha kabisa ya embe
 
Mkuu unataka kusema hizi nazi za viwandani kama za bkhresa hawatumii nazi kabisa ? yani wanachukua genes za nazi,,embu funguka kidogo hapa mkuu mama kweli sijawahi sikia mzigo wa nazi ukipelekwa huko kwa bahresa

Na vipi kuhusu hizi juisi ambazo unakuta zina ladha kabisa ya embe
All in all wanatumia kitu kinachoitwa flavour,usifikiri huwa unakunywa juici ya embe exactly hapana,,?? anayebisha aje hapa anipinge kwa facts bila kupanic tuone ukweli ulivyo,,,,,nanotechnology imefikia hatua ya kutengeneza kila kitu duniani,,,wale jamaaa wanatengeneza genes za flavour..kila kitu duniani under molecular kinaundwa na kuhimiliwa na genes...wanachofanaya ni kupata gene inayohusika na kutengeneza flavour ya kitu then wanaizalisha kwa kutumia machine za PCR under clonning technology then wanachanganya na kemical nyingi tunapata flavoured liquids....

kama unabisha nenda kiwanda cha soda aina ya fanta orange kama utaoana magari yanashusha machungwa pale,,ukikuta gari lolote linashusha machungwa uje nitakupa anything of high value from my life...ni kampuni moja tu duniani [coca-cola company] ndo linazalisha coca-coal origina.coca-cola iliyopo ulaya ni tofauti na unayokunywa wew huku bongo au africa,,,

wew unakunywa flavour wao wanakunywa original ingredient na ndo mana kuna siri kubwwa sana juu ya coca-cola company mpaka sasa formula inayotumiwa kutengenezea coca-cola origina imefichwa ...only two people know how the formula is but they are guided by high security from exposing the truth...coca-cola ndo kampuni inayoongoza kwa mauzo ya drinks duniani kutokana na usiri wake mzito kwenye ingredients.
 
Back
Top Bottom