Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Ana vyote. Nimekujibunimekuuliza unaamini mwanadamu ana roho au nafsi? haujajibu hili swali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ana vyote. Nimekujibunimekuuliza unaamini mwanadamu ana roho au nafsi? haujajibu hili swali
Ndio na ndio maana akapewa utambulisho wa mbwana mbwa nae ana nafsi?
That was semi death I can also perform that actkama mbwa aliweza kufufuliwa nae ana nafsi kama mwanadamu basi ipo siku huenda mwanadamu nae atafufuliwa
That was semi death I can also perform that act in a very professional waykama mbwa aliweza kufufuliwa nae ana nafsi kama mwanadamu basi ipo siku huenda mwanadamu nae atafufuliwa
That's total death.. No reverse action.. But semi death hasnusu kufa kivipi unamaanisha huyo mwamba alikuwa hajafa kabisa ndipo akafufuliwa?
pia mshana utafiti wako unaoendelea kuufanya hapa jf umeshapata jibu? 🙂🙂🙂View attachment 780117
yapi hapo wanazungumzia mtu aliyekufa masaa machache tu kabla ya kufanyiwa hiyo cryonpreserve na si mtu aliyekufa wiki mbili zilizopita huo hata mwili wake ukifanyiwa cryonpreserve hatafufukaThat's total death.. No reverse action.. But semi death has
Roho ikishatoka imetoka hairudi nyuma.. Haina gear ya reverseyapi hapo wanazungumzia mtu aliyekufa masaa machache tu kabla ya kufanyiwa hiyo cryonpreserve na si mtu aliyekufa wiki mbili zilizopita huo hata mwili wake ukifanyiwa cryonpreserve hatafufuka
Nitaka hyo muvi aseePumzika kwa amani mwanasayansi wangu VICTOR FRANKEINSTEIN hakika wewe ndio uliweza kurudisha uhai wa mwanadamu lakini sio haa wengine wanaotafuta kiki.
A true storywew mshana sasa unaleta ulozi kwani mtu kufa nusu (semi death) unamaana gani?
hahaha mshana umeshaleta ulozi huku sasa huyo si taayari alikufa kilozi sasa huku tunataka waliokufa total yani roho itoke halafu wafufuke kama huyo mbwa alivyokufa na kufufukaA true story
Bibi mmoja alikuwa ananiita mume wake alikuwa bibi yangu wa hiari.. Tulifahamiana 2007 Mbagala ... Mwaka 2015 akaanza kuumwa serious.. Kulingana na umri wake wakamrudisha nyumbani alikuwa ni mkuria... Huyu bibi alikufa maranyingi kabla ya kufa kabisa na kama ndugu wangekubali mababij uchwara wamuombee wangechukua point za bure... Bibi alikufa anakata pumzi hata siku nzima watu wakiandaa mazishi kesho mtu katinduka... Thats what we call semi death
Mwingine alikuwa babu yangu... Yeye ni mpaka alipowaaga rasmi ndio akafa kabisa
Aisee hizo costs ni kwa kipindi cha muda gani?si rahisi kuna mamilion ya seli na zote zinasurvive kwa temperature tofauti je unafikiri hata kujaribu kuiweka neurone moja iishi ni kazi ndogo?
hii hapa ndio gharama yake
Charges at the Cryonics Institute, where the girl has been stored, start at around $35,000 (£28,000) to 'members' for whole-body cryopreservation. The girl was charged £37,000, which may include costs such as transportation. Rival group Alcor charges $200,000 (£161,000) for whole-body preservation.
Nimeenda kuchek hiyo video asee inavyoonekana jamaa hakufa ila alikuwa kwenye koma though mm ia naamini mwili unapo cease soul ina kuwa somewhere elsekuna wimbo mmoja wa KYGO FT SELENA GOMEZ-IT AIN'T ME ..utafute huo wimbo wamejaribu kuonesha life after death inakuwaje kwa mtu aliyekufa...yani subconcious mind yake inakuwa haiwez kurudi tena but inakuwa inatambua kila mnachofanya juu ya ule mwili..ujue wakati wmingine these people are trying to reveal the truth but under hidden codes through music industry...utafute huo wimbo halafu utajua manake ...