fact.....usibishane na nanotechnology,,,ile technolojia ni mwisho aise,,kuna mambo mengi yanafanyiwa test ikiwemo la mtu kukaaa mwezi mzima bila kura na tayari wameshaanza kufanikiwa kwa hilo huko Australia ,,,,,wamecheza na satient center kwenye brain na wamefanikiwa kwa hilo sema hawajaanza kuweka wazi...yani ukiona wametoa article flani juu ya jambo fulani ujue ilimeshafikiwa tamati au bado kidgo tu ila washaona possible outcomes ya jaribio hilo,,,wenzetu wapo very makini kwa tafiti na huwa wakiona negative result juu ya kitu flani wanabun kimya kimya utafit ule bila hata kuuambia ulimwengu kuwa wameprove failure..so inawezekana kabisa...ukitaka kuamini zaidi soma kitabu cha physics of the future written by michio kaku ndo utaelewa kuwa hilo jambo linaenda kufanikiwa kwa 100% kabsaaa,,,mimi sibishi aise i believe the outcome