Mwili wa Agnes Gerald 'Masogange' waagwa leo katika viwanja vya Leaders

Inasemekana walikua
Wanashera dushe kwa kiba
 
RIP aggy..
It's too sad, umeondoka mapema mno huku malengo yako mengi hujatimiza!
Ila nakupa hongera kwa kumjali nzazi wako kumjengea nyumba. Ambayo ni ndoto ya kila mwanamke kuwajengea wazazi wake...
RIP + Hongera...
Kufa katika Kristo ni Faida...!
Nmependa ujumbe wako had nkasahau Kama tupo msibani mtandaoni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…