Mwili wa Agnes Gerald 'Masogange' waagwa leo katika viwanja vya Leaders

Hivi wasanii huwa wanapaiga picha wao?
Shishi mmewe kamuacha na nani
 
Msanii Shilole akiwa jikoni kupika kwenye msiba wa marehemu Agnes Gerald 'Masogange' uliopo Kijiji cha Mbalizi ii Wilaya ya Mbeya
 
MWILI wa Agnes Gerald tayari umewasili nyumbani kwao eneo la Utengule-Mbalizi. Mbeya
 
Mtoto wa Marehemu Agnes Masogange Akiwa Msibani... Ni Mwenye majonzi na Huzuni Sana
Mzazi mwenza na Mtoto wa Marehemu Agnes Masogange Pichani wakilia Kwa Uchungu Sana kutokana na Msiba Huu mzito
 
Mkuu kuna utengule pia huku mbalizi njia ya kwenda chunya

Je umejuaje wa huko
 
Naona UVCCM mbeya wanatafuta kiki kwa pikipiki mpaka kwenye misiba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…