Duh kweli watu wanamajonzi na wameguswa na msiba mpaka wamepata mda wa kuvaa vikuku
bila kumsahau lemutuz mwisho kabisaa [emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16]View attachment 753197 MATUKIO KWA PICHA : Tukio la kuagwa mwili wa Video Vixen, Agnes Masogange viwanja vya Leaders...hamisamobetto... esha.s.buheti na Wengineo wamefika kuaga Mwili wa MarehemuView attachment 753207
MATUKIO KWA PICHA : Tukio la kuagwa mwili wa Video Vixen, Agnes Masogange viwanja vya Leaders.....@mrishompoto ...@chegechigunda na Mkewe wajitokeza kuaga mwili wa marehemu .View attachment 753208
Pichani ni baadhi ya wasanii wa Tanzania na Moja ya hao ni Wasanii Wa BongoFleva. Diamond Akiwa na Mpinzani Wake Mkuu. Alikiba na Pembeni Harmonize.View attachment 753210
Baadhi ya wasanii waliojitokeza [HASHTAG]#LeadersClubKinondoni[/HASHTAG] kumsindikiza kipenzi chetu Agness Masogange.
kabisaa yaanNi Elimu kubwa kwa wenye kufikiri
sitaki kucheka mkuu tupo msibani ujuesasa huyo mwenye black nae yuko msibani kweli?
Si umpe jibu sasa?Unajua kusoma saa kwa masaa 24 usiniambie kama hujafika hata la Tatu C
Huu ni utani msibani anaenda kuuza sura!!
Hapana inakuja kampeni ya lazima kwa wanaume wa dar kupima tezi dume na wanaoshindwa kudunga mimba wake zaoBasi yule mange atasema hii ni kiki yakuzima maandamano na wiki hii jiji la Tanzania kuna zekezeke la simba na yanga ,mpaka tarehe 29 (Hapa napo anaweza sema mpango wa makonda).
Mkuu hii picha ni ya msiba wa Aggy au kwenye msiba wa Kanumba?.
Marehemu kazaliwa utengule karibu kabisa na kiwanda chetu cha nyama kijulikanacho kama Tanganyika parkers pia ni jirani wa ndugu yetu kmjenzi wa nyumba 75 aliekua mkurugenz TRA alietumbuliwa na magufuli si mbali sana kutok katikati mwa mji wa mbeya nauli mpaka nyumbani kwao ni shilingi buku mpaka mlangoni ukitokea mbeya mjini sehemu ikiwa na mazingira halisi ya ukijaniUmekosea Mkuu...ni utengule usongwe kata ya mbalizi mbeya vijijini. Wenyeji wa huko ni wasafwa.. Wakulima wa mahindi, maharage, kahawa. viazi aina zote na pia ni wafugaji wazuri tu.MAREHEMU NI MSAFWA ORIGINAL KUTOKA KWA WAZAZI WOTE.
Ulimbukeni unamsumbua huyoDuh kweli watu wanamajonzi na wameguswa na msiba mpaka wamepata mda wa kuvaa vikuku
Mkuu hii picha ni ya msiba wa Aggy au kwenye msiba wa Kanumba?.
Kulikoni mbona amepungua sana na madoa madoa kwa miguu au ni Vidoti!
Mkuu hii picha ni ya msiba wa Aggy au kwenye msiba wa Kanumba?.
Kulikoni mbona amepungua sana na madoa madoa kwa miguu au ni Vidoti!
Marehemu ana meneja?!Meneja wa marehem
Ulitaka awe yule arasii wa ei ara? Hakawii kuzipangia matumizi mengine yule kama za wale watotoSteve Nyerere ndiyo mweka hazina wa rambirambi??