Mwili wa Agnes Gerald 'Masogange' waagwa leo katika viwanja vya Leaders

Mkuu sio huko,ni kule mbalizi.Kuna utengule pia kule.
 
Utengule unayoisema siyo hiyo. Yeye kwako ni Utengule ya Mbalizi Mbeya njia ya kwenda mkwajuni Chunya. Hiyo Utengule ya Usangu ni ya kwako. Hata hivyo pole sana kwa walioguswa na msiba wa Masogange
 
Mwenyezi Mungu mpokee mwanao huyu(AGNES G. MASOGANGE katika ufalme wako,msamehe na uyasahau mabaya yote aliyoyatenda!!!!!
 
RIP aggy..
It's too sad, umeondoka mapema mno huku malengo yako mengi hujatimiza!
Ila nakupa hongera kwa kumjali nzazi wako kumjengea nyumba. Ambayo ni ndoto ya kila mwanamke kuwajengea wazazi wake...
RIP + Hongera...
Kufa katika Kristo ni Faida...!
I ain't cry for this bi-tc-h!!!she used to sale crack to our kids!! Rih bitch!!!
 
Utengule unayoisema siyo hiyo. Yeye kwako ni Utengule ya Mbalizi Mbeya njia ya kwenda mkwajuni Chunya. Hiyo Utengule ya Usangu ni ya kwako. Hata hivyo pole sana kwa walioguswa na msiba wa Masogange
Yah exactly barabara ya kwenda Mkwajuni kabla ya kufika Itimba.
Mkuu wewe kweli mwenyeji.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…