Mlima simba
JF-Expert Member
- Dec 28, 2017
- 3,776
- 6,825
Kwetu siyo Tabora/Rukwa na wala mimi siyo mfipa. Mimi siishi huko unakodhani, nimeuliza sisi tusio na vyama tutazikwaje wewe unakuja na mambo ya ufipa. Nani kaenda Rukwa au ndo unakoishi?
Hapana Mkuu wako sahihi, wametusaidia kujua uahiriki wa UVCCM kama wasafirishajiwa Ngada!He he he he
watu wameenda kuleta ukada mpaka kwenye msiba, wakati akiwa hai hawakumpa hata mia ya panadol???
Kweli maisha haya bila unafiki hayaendi.
Kumbe alikuwa na mtoto mkubwa tu.Mtoto wa Marehemu Agnes Masogange Akiwa Msibani... Ni Mwenye majonzi na Huzuni Sana View attachment 754291 Mzazi mwenza na Mtoto wa Marehemu Agnes Masogange Pichani wakilia Kwa Uchungu Sana kutokana na Msiba Huu mzito
View attachment 754293
Marehemu Agness enzi za uhai akiwa na mwanaeView attachment 754295
KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI!
kwa namna ya pekee kabisa nawapa pole UVCCM na Green Guard kwa kufiwa na mwenzenu Agnes Masogange.
Awali niliwapa pole wasanii tu nikawasahau ninyi nduguze muhimu. Nimetambua uwepo wenu hususani Mbalizi Mbeya ambapo vijana wa Green Guard waliokuwa wamevalia kijani walibeba jeneza kwa huzuni kubwa.
Najua wengine mlimkana enzi akiwa na tuhuma za madawa ya kulevya mkisema UVCCM hawawezi hata kutuhumiwa lakini walau mmeikubali maiti yake.
Poleni sana Green Mamba...sorry I mean Green Guard kwa kuulinda vyema na kuusitiri mwili wa dada yetu.
Sisi vijana wa Mbeya tumewapenda kwa moyo huo ila upendo wetu kwenu si kama tumpendavyo Sugu our genius hustler.
Mungu awabariki!
Mzee wa rambi rambi hakika CAG tutampa special taskBaada ya Mazishi CAG amkague Steve Nyerere.
Masogange kacheza muvi gani?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila CCM saa nyingine mnatia sana aibu. Yaani kituko!
Wewe nawe naona ni mgeni jf! Ufipa maana yake chadema,makao makuu ya chadema yapo kinondoni mtaa wa ufipa ndio maana wanawaita ufipa,na ccm japo makao makuu yapo dodoma ila ofisi ndogo zipo kariakoo mtaa wa lumumba ndio maana wanaitwa lumumba fc a.k.a buku 7 mfano wa lumumba fc buku 7 ni kama vile barbarosa,rutashobollwa,coco chanel na takataka nyingineKwetu siyo Tabora/Rukwa na wala mimi siyo mfipa. Mimi siishi huko unakodhani, nimeuliza sisi tusio na vyama tutazikwaje wewe unakuja na mambo ya ufipa. Nani kaenda Rukwa au ndo unakoishi?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] nshamuelewesha mzee,huyu dem anaonekana mgen jfHahahahahaha hahahahahaha, lugha gongana
Wewe nawe naona ni mgeni jf! Ufipa maana yake chadema,makao makuu ya chadema yapo kinondoni mtaa wa ufipa ndio maana wanawaita ufipa,na ccm japo makao makuu yapo dodoma ila ofisi ndogo zipo kariakoo mtaa wa lumumba ndio maana wanaitwa lumumba fc a.k.a buku 7 mfano wa lumumba fc buku 7 ni kama vile barbarosa,rutashobollwa,coco chanel na takataka nyingine
[emoji23] [emoji23] [emoji23] nshamuelewesha mzee,huyu dem anaonekana mgen jf
Anaonekana koro[emoji23] [emoji23] [emoji23] ngoja namsubiri asome hapaHahahahahaha mkuu nimecheka kichiz yani kusema yeye sio mfipa ila bora umemuelewesha