Mwili wa Agnes Gerald 'Masogange' wawasili Mbeya tayari kwa mazishi

Mwili wa Agnes Gerald 'Masogange' wawasili Mbeya tayari kwa mazishi

Naona kamera zote zipo kwa Shishi baby akikata vitunguu.

Yuko wapi yule aliyesema " Kufa kufaana "
 
He he he he
watu wameenda kuleta ukada mpaka kwenye msiba, wakati akiwa hai hawakumpa hata mia ya panadol???
Kweli maisha haya bila unafiki hayaendi.

screenshot_2018-04-23-13-14-30-1-jpg.754228
Wana matatizo kwelii
 
Dodoma nako si kuna msiba wa Jebby! Mbona hatuoni amsha amsha kama huku kwa Agness Gerrad Waya?
 
Shoga nyumbu hakuja kwa msiba, mwanamke mchawi yule mxieww
 
Wewe nawe naona ni mgeni jf! Ufipa maana yake chadema,makao makuu ya chadema yapo kinondoni mtaa wa ufipa ndio maana wanawaita ufipa,na ccm japo makao makuu yapo dodoma ila ofisi ndogo zipo kariakoo mtaa wa lumumba ndio maana wanaitwa lumumba fc a.k.a buku 7 mfano wa lumumba fc buku 7 ni kama vile barbarosa,rutashobollwa,coco chanel na takataka nyingine
hahaha mkuu katika hizo takatakata na mimi nimo
 
Wewe nawe naona ni mgeni jf! Ufipa maana yake chadema,makao makuu ya chadema yapo kinondoni mtaa wa ufipa ndio maana wanawaita ufipa,na ccm japo makao makuu yapo dodoma ila ofisi ndogo zipo kariakoo mtaa wa lumumba ndio maana wanaitwa lumumba fc a.k.a buku 7 mfano wa lumumba fc buku 7 ni kama vile barbarosa,rutashobollwa,coco chanel na takataka nyingine
Mimi na wewe nani alijoin JF kabla. Nilikuwa naisoma tangu 2008 ila niliamua kujoin 15 Sept na angalia post zangu na likes zangu zikoje compare with yours.
 
Baba ake aggy ana cheo ccm upande wa wazazi kata. Ila sababu ya umaarufu wa msiba wakaona nao wakauze sura vizuri
Anaejua anisaidie kidogo, hivi CCM huu msiba unawahusu vipi, marehemu alikuwa na cheo gani huko CCM, nimeuliza tu
 
Siokwamba nyiewengine mkifa hamtazikwa, Bali sikumkifa mazishi yenu hayataongozwa na mapadri wa kijani toka lumumba.
 
Back
Top Bottom