Mwili wa Agnes Gerald 'Masogange' wawasili Mbeya tayari kwa mazishi

Naona kamera zote zipo kwa Shishi baby akikata vitunguu.

Yuko wapi yule aliyesema " Kufa kufaana "
 
Dodoma nako si kuna msiba wa Jebby! Mbona hatuoni amsha amsha kama huku kwa Agness Gerrad Waya?
 
Shoga nyumbu hakuja kwa msiba, mwanamke mchawi yule mxieww
 
hahaha mkuu katika hizo takatakata na mimi nimo
 
Mimi na wewe nani alijoin JF kabla. Nilikuwa naisoma tangu 2008 ila niliamua kujoin 15 Sept na angalia post zangu na likes zangu zikoje compare with yours.
 
Baba ake aggy ana cheo ccm upande wa wazazi kata. Ila sababu ya umaarufu wa msiba wakaona nao wakauze sura vizuri
Anaejua anisaidie kidogo, hivi CCM huu msiba unawahusu vipi, marehemu alikuwa na cheo gani huko CCM, nimeuliza tu
 
Mbona simuoni wala kumsikia mama yake Masogange kwenye msiba huu?
 
Siokwamba nyiewengine mkifa hamtazikwa, Bali sikumkifa mazishi yenu hayataongozwa na mapadri wa kijani toka lumumba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…