Mwili wa aliyefia Mlima Everest utaachwa huko, familia yaamua

Mwili wa aliyefia Mlima Everest utaachwa huko, familia yaamua

Mambo mengine yanafurahisha na kuhuzunisha kwa wakati mmoja.
 
katika watu zaid ya mia tatu waliofanikiwa kufariki huko mlimani miili miambili imeachwa huko sio kitu kipya
 
katika watu zaid ya mia tatu waliofanikiwa kufariki huko mlimani miili miambili imeachwa huko sio kitu kipya
Kufanikiwa kufariki?? Sema waliotokea kufariki/ waliofariki. Hakuna kufanikiwa kwenye matatizo.
 
Kufanikiwa kufariki?? Sema waliotokea kufariki/ waliofariki. Hakuna kufanikiwa kwenye matatizo.
maisha mnayachukulia sirias sana ndio maana mashambulio yamoyo yameongezeka sana
 
Siyo kwa Ubaya,lakini hawa jirani zetu si huwa wanajinadi kuwa wana maisha mazuri na pesa nyingi?? Sasa mil 9 kwao kitu gani kshindwa kuuchukua mwili wa ndugu yao?? Ukizingatia huyo ndugu yao si mtu wa kawaida,maana yake kama pesa alikuwa nayo😆😆😆kumbe bana "mvua ikinyesha ndiyo utajua wapi panavuja"
 
Wenyeji wa huko sasa kwa ukarimu
Yak_at_third_lake_in_Gokyo.jpg
 
Ni gharama sana labda serikali iwasaidie.
Serikali inayojitambua haiwezi kushiriki hasara ya aina hiyo.
Unasafirisha mabaki ya binadamu ambayo hayataongeza tija wala kupunguza matatizo ya familia na jamii iliyowazunguka.
Vema iachwe huko kama walivyoavywa wengine.
 
Siyo kwa Ubaya,lakini hawa jirani zetu si huwa wanajinadi kuwa wana maisha mazuri na pesa nyingi?? Sasa mil 9 kwao kitu gani kshindwa kuuchukua mwili wa ndugu yao?? Ukizingatia huyo ndugu yao si mtu wa kawaida,maana yake kama pesa alikuwa nayo😆😆😆kumbe bana "mvua ikinyesha ndiyo utajua wapi panavuja"
Badilisha milliioni 9 ya Kenya kuja ela Tanzania ni karibu million 180 ya Tanzania. Ni pesa nyingi fedha yao ina thamani kubwa.
 
Some kenyans like vi sifa sifa vi sivyo na mpango ..ukisha panda bila oxygen Ndio uandikwe kwenye news paper ama.
Relax tajir hiyo ni kawaida kwa watu kupanda na kushuka bila oxygen ya ziada, lakin pia kuna watu hawaogopi kifo ndio maana they risk it all
 
Kifo cha kujiona kabisa safari hii naondoka daaa 😢!.

Nilisona jamaa kabakiza mita chanche afike mwisho au kileleni but utelezi ukamfikisha mwisho na hakuna msaada wowote do!.
Ila kifo kila mahali, naogopa zaidi usafiri wetu kuliko kupanda mlima maana hapo ndio kifo nje nje
Umewahi kuangalia hata matairi ya baadhi ya malori
Na ndio sababu kubwa
 
Ila Everest kiboko
Kuna sharti ukijisaidia haja kubwa unabeba unarudi na timba mpaka camp
Marufuku kuacha mzigo juu mlimani
 
Back
Top Bottom