Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU), Dkt. Tulia Ackson, leo tarehe 26 Novemba, 2024 ameshiriki ibada ya mazishi ya Brigette Mbembela (Pude), iliyofanyika katika Kanisa la KKKT dayosisi ya Konde, Usharika wa Tunduma Mkoani Songwe.
Soma Pia: Live Updates Kuporomoka kwa Ghorofa Kariakoo Nov 16: Waziri Mkuu aunda Tume ya watu maalumu 21 leo Nov 22, 2024
Pude alifariki katika ajali ya jengo la ghorofa kuporomoka Kariakoo iliyotokea Novemba 16, 2024 Jijini Dar es Salaam.
Soma Pia: Live Updates Kuporomoka kwa Ghorofa Kariakoo Nov 16: Waziri Mkuu aunda Tume ya watu maalumu 21 leo Nov 22, 2024
Pude alifariki katika ajali ya jengo la ghorofa kuporomoka Kariakoo iliyotokea Novemba 16, 2024 Jijini Dar es Salaam.