min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Mkuu vyovyote vile 😂😂😂 mimi siogopi kitu kinaitwa kifo🤣🤣🤣🤣Njoo pm mzeee mimi sio usalama mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu vyovyote vile 😂😂😂 mimi siogopi kitu kinaitwa kifo🤣🤣🤣🤣Njoo pm mzeee mimi sio usalama mkuu
Ni heshima kubwa kwa Mungu kuichukia CCM na Ushetani wake #Lema GYani hawa jamaa najisikia kuwachukia mno 🤔🤔
Mungu hayupo thibitisha uwepo wake fake p wangu🤔Ni heshima kubwa kwa Mungu kuichukia CCM na Ushetani wake #Lema G
Yaambie mashetani yako yaje taratibu, FYI hiyo pumzi uliyonayo imethibitisha uwepo wa Mungu (Supreme power)Mungu hayupo thibitisha uwepo wake fake p wangu🤔
Ndio tayari umeshathibitisha kwa hiyo sasa tutoke kwenye imani tujue?Yaambie mashetani yako yaje taratibu, FYI hiyo pumzi uliyonayo imethibitisha uwepo wa Mungu (Supreme power)
Wakati wenzao wako kwenye majonzi ya msiba gagula Tulia na kundi lake la wanaccm kwao ni fursa ya kupata kura leo.Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU), Dkt. Tulia Ackson, leo tarehe 26 Novemba, 2024 ameshiriki ibada ya mazishi ya Brigette Mbembela (Pude), iliyofanyika katika Kanisa la KKKT dayosisi ya Konde, Usharika wa Tunduma Mkoani Songwe.
Soma Pia: Live Updates Kuporomoka kwa Ghorofa Kariakoo Nov 16: Waziri Mkuu aunda Tume ya watu maalumu 21 leo Nov 22, 2024
Pude alifariki katika ajali ya jengo la ghorofa kuporomoka Kariakoo iliyotokea Novemba 16, 2024 Jijini Dar es Salaam.
Sare zinahusianaje na majonziSpika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU), Dkt. Tulia Ackson, leo tarehe 26 Novemba, 2024 ameshiriki ibada ya mazishi ya Brigette Mbembela (Pude), iliyofanyika katika Kanisa la KKKT dayosisi ya Konde, Usharika wa Tunduma Mkoani Songwe.
Soma Pia: Live Updates Kuporomoka kwa Ghorofa Kariakoo Nov 16: Waziri Mkuu aunda Tume ya watu maalumu 21 leo Nov 22, 2024
Pude alifariki katika ajali ya jengo la ghorofa kuporomoka Kariakoo iliyotokea Novemba 16, 2024 Jijini Dar es Salaam.